Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 26,091
- 68,375
Habari wakuu,
Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume.
Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?
Kama haupo tayari kutoa usiwe tayari kutaka pesa na kuhudumiwa, kila mtu abaki na chake.
Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?
Mtakaokuja kunipa pole nazipokea, ahsanteni 😅
NAWASILISHA.
Dunia inaenda kasi sana tupo kwenye zama za nipe nikupe, mwanamke unataka hela ya mwanaume(kuhudumiwa) basi uwe tayari kutoa atakachotaka mwanaume.
Sio kutaka kuhudumiwa alafu mwanaume akihitaji tunda zinaanza sababu "ooh bado ni mapema sana kufanya hivyo". Mbona hela na kuhudumiwa hamuoni ni mapema?
Kama haupo tayari kutoa usiwe tayari kutaka pesa na kuhudumiwa, kila mtu abaki na chake.
Ni muda gani ukishapita baada ya kufahamiana ni sahihi kuomba game?
Mtakaokuja kunipa pole nazipokea, ahsanteni 😅
NAWASILISHA.