Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Ni kisa kilichosimuliwa vizuri na kwa ubunifu mkubwa na mwanadada ajulikanaye kwa jina la BAHATI BUKUKU.
Ni kibao kilichopigwa kwa hadhi ya kama charanga fulani,kina ujumbe ambao kwa dunia ya leo ni elimu tosha.
Kama hujapata bahati ya kuusikiliza,ukipata nafasi hiyo itumie vizuri then uje utuambie umejifunza kipi toka katika wimbo huo!
Ni kibao kilichopigwa kwa hadhi ya kama charanga fulani,kina ujumbe ambao kwa dunia ya leo ni elimu tosha.
Kama hujapata bahati ya kuusikiliza,ukipata nafasi hiyo itumie vizuri then uje utuambie umejifunza kipi toka katika wimbo huo!