- Thread starter
- #61
Pamoja na kwamba siyo lazima niwe nakubaliana na kila alichosema Martina, sikubaliani na ulichosema wewe ndugu hapo juu.
Wife material maana yake nini? Je ni mwanamke asiyethubutu kuweka wazi ukweli wa kilicho moyoni mwake?Hivi mnadhani alichothubutu kukisema Marytina ni kitu cha ajabu ambacho hakimo kwa hao wife material mnaodhania?Kama wanaume mna matamanio, nani alikudanganya kuwa wanawake hawana matamanio? Kutamani ni kitu kingine na kufanyia "kweli" matamanio ni kitu kingine.Pia WIFEY MATERIAL IS A PHALLASY!
NATAMANI NIWAAMBIE HATA MAMA ZAO walishakutana na hali kama yangu sema tu wanaogopa hawa wakaka wa JF