ingekuwa ccm hapo mbele na washangiliaji wangekuwa wamepiga masale yao tupu. Cheki hao wakina mama na kanga zao na lubega zao wamechomoka majikoni mbio kwenda kumshangilia lowasa. wanakwambia lowasa kwanza chakula baadae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.