Duh! Hii ni hatari

Yes Yes Yo

JF-Expert Member
Jan 5, 2014
232
99
OTH_7183_1.jpg
 
Hawa watu wanakufuru ile mbaya dah hii ni upuuzi siasa zenu kwa kweli
Ww unamfananisha kiumbe na mmung hakika nyie mnalaaan kubwa
 
ingekuwa ccm hapo mbele na washangiliaji wangekuwa wamepiga masale yao tupu. Cheki hao wakina mama na kanga zao na lubega zao wamechomoka majikoni mbio kwenda kumshangilia lowasa. wanakwambia lowasa kwanza chakula baadae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom