Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Na kutoka Michuzi blog !
Na kutoka Michuzi blog !
Ndiyo zao...niliona mkutano wa juzi alijaza wanafunzi hata kama angejaza watu, tujiulize hivi ni watanzania wangapi wanapenda mziki na hawana nafasi ya kuwaona wasaani live je vipi leo wakigundua kuna nafasi ya kuwaona bure...
Na kutoka Michuzi blog !
View attachment 14300
Umati mkubwa uliojitokeza kumsikiliza JK leo
alipokuwa akiwahutubia wana CCM wa Musoma !
Jamani tumeingiliwa, tuwe tunazitazama hizi picha kwa makini. Watachakachua wee lakini mwisho wa safari wataanguka pua. Wanaoongoza kwa hili ni Daily News, Habari leo na TBC1 hawako nyuma !
Mag3, siijui profession yako ila una kipaji cha observation eye. Hongera. Ila pia nimefurahi kujua kumbe zimechakachuliwa, na aliyetulea huo mchakachuo humu jukwaani si mwingine bali ni mwenzetu, mkuu sana, baada ya yale maumivu ya kura ya maoni, kaibuka kwa staili ya kutundika haya mapicha ya kuchakachua ikijifariji CCM inapendwa kihivyo!.
Hatudanganyiki!.
Na kutoka Michuzi blog !
View attachment 14300
Umati mkubwa uliojitokeza kumsikiliza JK leo
alipokuwa akiwahutubia wana CCM wa Musoma !
Jamani tumeingiliwa, tuwe tunazitazama hizi picha kwa makini. Watachakachua wee lakini mwisho wa safari wataanguka pua. Wanaoongoza kwa hili ni Daily News, Habari leo na TBC1 hawako nyuma !
Wenye akili timamu wanazungumzia "strategy" siyo picha za kujaza watu na online polls zisizokuwa na security features zozote za kuzuia multiple voting. Lakini looks like wenye akili timamu wako wachache kwenye ukumbi huu ndiyo maana wanaishia kujadili picha. Sasa matokeo ya uchaguzi yakitoka hapo ndipo watakapojua kuwa kujisifia pekee na kujaza mabandiko kwenye JF haisadii katika kuleta ushindi kwenye uchaguzi.
Na kutoka Michuzi blog !
View attachment 14300
Umati mkubwa uliojitokeza kumsikiliza JK leo
alipokuwa akiwahutubia wana CCM wa Musoma !
Jamani tumeingiliwa, tuwe tunazitazama hizi picha kwa makini. Watachakachua wee lakini mwisho wa safari wataanguka pua. Wanaoongoza kwa hili ni Daily News, Habari leo na TBC1 hawako nyuma !
Bwa ha ha ha
Nimecheka hadi nasikia maumivu.