Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
...nyimbo zenyewe uzushi mtupu!!..check hiyo."..napenda manundu sipendi vijipu..."
Msanii wa Mziki DuduBaya Ameitumia BABKUBWA.COM Ujumbe Kwa njia Ya simu ukisema
TOKA MWAKA 2000 MPAKA MWAKA 2003 MSANII ALIKUA ANACHUKUA SHILINGI 100/= KWA KILA TAPE MOJA AMBAYO ILIUZWA 1,200/= MWAKA 2004 MPAKA SASA MSANII ANAPOKEA SHILINGI 200/=, KATIKA TAPE INAYOUZWA SHILINGI 1,500/=, JE KWA NINI BIDHAA YA MZIKI HUWA HAIPANDI BEI KAMA BIDHAA ZINGINE? NADILIKI KUIFANANISHA BIDHAA YA MZIKI KAMA BIASHARA YA MUUZA GENGE,NDIZI,MIWA, MAHINDI NA N.K. KIUKWELI IT'S TOUCHING.
FromUDUBAYA
FromUDUBAYA