vijana endeleeni kupachimba, kamata salome, kamata kabigumila, funga kamba, vipi bumu mnalo? kama hamjapata endeleeni kupachimba hadi mpewe bumu na mlipiwe ada ku...a zao, kama pesa serikali haina ikamate magari ya lowasa, chenge, rostam, mramba, rizone karamagi na mafisadi wawili watatu wa ccm kisha yauzwe pesa walipiwe ada watoto wa maskini, wote hao tunajua wamezaliwa ktk familia za kikum.... leo ni mabilionea wakubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.