CDM hakuna kada kuna makamanda! upo hapo?
"Ndugu zangu wana wa Arusha, serikali ya ccm imewapora mbunge wenu kwa kuitumia mahakama! huu ni uhuni na ni dhambi kubwa! Haiwezekani haki ya watu zaidi ya elfu 56 kuporwa na watu wachache eti kwa kuwa tuliwapa madaraka na sasa wanayatumia kuwadhulumu ninyi! kwa matakwa yao ya kifisadi"
"Msiogope ninyi mlio wengi kwani mimi mmoja mtanikatisha tamaa! Vumilieni twendeni tukafunge siku saba, na siku ya nane tukatoe sadaka kwa watu masikini, wajane na mayatima nina uhakika Mungu atatujibia!"
"Wao wana pesa na madaraka sisi tuna MUNGU"
Says by Mh: Lema at NMC- Unga LTD on 07.04.2012
Kwan hii thread ina upungufu gani,?Umefunga nini, na majibu uluyoyaona ni yapi?
Andika kama mtu aliyefunga na kuomba basi... clear message!!! sio kama mtu aliyelamba bange na kidumu ya mbege
Kwan hii thread ina upungufu gani,?
Ni kwamba wewe sio mfuatiliaji wa mambo,, hiyo speach aliitoa kweli hon. LEMA.
Na mwenye macho haambiwi tazama; Niambie kwamba ni kwa mara ya ngapi kikwete anadhihirisha kushindwa kazi yake?? kuteua tena mawaziri maana yake ni nini??/
Mungu amejibu maombi yetu; anguko kubwa la CCM linakuja.
ni kweli, mimi ni kada wa chadema, kuna kosa lolote??