Mwezi March hapa hapa JamiiForums nilisema ( niliandika ) kuwa Timu ya DTB ikipanda tu Ligi Kuu itahamishiwa Mkoani Singida na Kuitwa Singida United ( japo sasa wamejishtukia ) na kubadili Jina nikapuuzwa nashukuru leo Kimejidhihiri.
Ulishajitengenezea mazingira mengi ya kupuuzwaMwezi March hapa hapa JamiiForums nilisema ( niliandika ) kuwa Timu ya DTB ikipanda tu Ligi Kuu itahamishiwa Mkoani Singida na Kuitwa Singida United ( japo sasa wamejishtukia ) na kubadili Jina nikapuuzwa nashukuru leo Kimejidhihiri.
Mmiliki ni mmoja bwana MadeluKuna uhusiano gani kati ya Singida united, DTB na Singida stars?
Ni kweli Popoma alitabiriUlishajitengenezea mazingira mengi ya kupuuzwa
Ningepuuzwa ningekuwa nafuatiliwa mno JamiiForums ( nawe ukiwemo kama hivi ) huku idadi ya 'Followers' wangu ikiwa inaongezeka tu?Ulishajitengenezea mazingira mengi ya kupuuzwa
Kuwa Kwangu Knowledgeable, Well Informed na kuwa na aina yangu ya Kipekee ya Uwasilishaji wa Masuala ( Taarifa ) hapa JamiiForums na Analysis zangu ni Chukizo kwa Maadui zangu ambao 99% ni Wapumbavu Waandamizi kama huyo Juha ( Moron ) Lupweko hapo juu niliyetoka kumpa Dozi yake.Ni kweli Popoma alitabiri
DTB mwanzo ilikuwa inamilikiwa na DTB bank, imeuzwa kwa Mwigulu nchembaKuna uhusiano gani kati ya Singida united, DTB na Singida stars?
Kama anaropoka kama Malaria Sugu lazima apuuzweUlishajitengenezea mazingira mengi ya kupuuzwa