bombu
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,127
- 542
[h=6]walevi watatu walipanda kwenye tax,basi dereva tax alipoona jamaa wamelewa akawasha gari na kuizima kisha akawaambia tushafika...mlevi wa kwanza akalipa nauli,wa pili akamwambia asante sana dereva yule wa tatu akampiga bonge la kibao dereva akajua jamaa amemshitukia ndo yule mlevi akamwambia next time jifunze kuendesha gari polepole![/h]