Rugaijamu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2010
- 2,942
- 1,294
Aibu juu yao. Waliweza kumpeleka kichaa mahakamani bila hata kumhoji mhusika wa tukio Dr. Ulimboka hadi hii leo, kuna kesi hapo? Maisha ya Dr. Ulimboka kwao ni maisha ya kuku ndio maana hadi hii leo hata waliotajwa na mhusika hawajawahi hata kuulizwa. Hii ndio Tz bana.
Na sisi Wananchi tumekaa kimya wala hatunyanyui midomo yetu kuhoji maendeleo ya kesi ile, wala kutokuhojiwa kwa wahusika wakuu wa tukio lile, kama ambavyo tulipaza sauti zetu kutoa matamko ya kulaani uteswaji ule.......KIMYAAAAAA!