masingo sharili
Member
- Mar 18, 2011
- 63
- 12
BAADA YA KUWALINGANISHA WENYEVITI WA VYAMA VIWILI VIKUBWA HAPA NCHINI KWA KUDADISI UTENDAJI WAO WA KAZI YAANI KIKWETWE(CCM) Vs MBOWE (CHADEMA), LEO NINAOMBA MAONI YENU NI NANI KIONGOZI BORA KWA NAFASI YA UKATIBU WA CHAMA KATI DR.SLAA(CHADEMA) NA MAKAMBA(CCM)?
VIGEZO
utawala bora
uwajibikaji
uzalendo
ubunifu
uadilifu
busara katika kazi
kuheshimu utawala wa sheria na demokrasia. TOA MAONI YAKO
VIGEZO
utawala bora
uwajibikaji
uzalendo
ubunifu
uadilifu
busara katika kazi
kuheshimu utawala wa sheria na demokrasia. TOA MAONI YAKO