denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,937
Huyo ungemlinganisha na jamaa aliyemuachia nafasi yake hiyo, wa chama hicho hicho. I heared zat jama alienda china ka balozi. Na2mai wadau mtakua mnamkumbuka vzuri na ye alivuma sana kwa majibu yake hewa, japo ckuhizi havumi tena kwenye medani za si hasa. Amakweli hiyo nafasi NUKSI.