EmmaGMangwela
Senior Member
- May 11, 2015
- 139
- 53
Mtabiri mmoja kishasema mgombea URAISI mmoja MZEE atakufa ghafla...
Na sifa hiyo dr.slaa anayo..tusubiri matokeo.
Mtabiri mmoja kishasema mgombea URAISI mmoja MZEE atakufa ghafla...
Dr. Slaa akiingia ikulu mafisadi watafute nchi yao.
Watanzania wanatarajia kuingia nchi ya ahadi, matumaini yao kwa Dr. Slaa
Dr Slaa ndie anao uwezo wa kufumua mfumo huu uliotusababishia ufisadi, umaskini, huduma mbovu Za jamiii
Dr.slaa hafai kabisa kuwa rais wetu..labda atuambie kwanza mafanikio yake kifamilia,kiuongozi na kijamii
Akili kubwa ya daktari Slaa...
Wewe naona ata vitu huvijui, taarifa ya CAG imekuwa magamba?upotoshaji wa magamba
Dr Slaa ndiye mtendaji mkuu wa Chdema, na mahesabu yao ndio haya, yenye MASHAKA, hana tofauti na wezi wengine.
Angekuwa mtu safi na makini angeonyesha hapa....Kama kamshindwa Fisadi Mbowe atawaweza mafisadi gani tena?Dr Slaa ni dhaifu na hana uwezo huo.
REPORT YA CAG
N.B: CHADEMA HAIJAWAHI KUPATA HATI SAFI YA CAG, CHADEMA NA CCM NI KAMA MAPACHA
Na sifa hiyo dr.slaa anayo..tusubiri matokeo.
Naona fisa bado linaendelea kuzunguka, ewe mfu wa el soma thread na uelewe hayo yote yalizungumzwa inamaana huamin? Kama hutoamin bac ww hukukaa ktk Nchii hii ulikuwa msituni leo ndo umekurupuka,
Hao watia nia wenu wanayoyaahid ndo hayo hayo mliowaahid Watz na hamjayatekeleza tukiwaambia mmechoka mnahitaji kupumzika hamtak kukubal, oct mtakubal tu.
Kamwe hato nusa vyumba vya ikulu
.
Robot ya CDM tumika dogo maana mwaka huu mtaunganisha nguvu zenu na hela zenu zote za kula afu hamuingii Ikulu CCM wanawapimia ili wawazoe na UKAWA yenu kama karandinga mpaka Jehanum nakuambia mtalia na kusaga meno na wanasema ndo utakua mda mzuri wa kuwatawala milele!
Kwa wizi uliofanywa na ccm kwa miaka 50 Ya uhuru twamwitaji Daktari kiturudisha alipotuacha Nyerere na siyo wezi wa sasa
ni nchi ya wahuni tu ndio wanaweza kuruhusu maigizo haya,ya ccm,
ni nchi ya kusadikika,wanaoweza kusikia hadithi za wanaccm watia nia urais,
hakuna hata mtaa mmoja au nukta moja,iliyowahi kupotea kwa uzembe huu wa ccm wa hata wezi,waliofukuzwa uwaziri na kuondolewa madarakani,chama makini hakiwezi kamwe kuona watu kama hao wanakinyanyasa na kukidhalilisha chama kwa kutangaza kugombea urais!
Wote wanaounga maneno na watia nia waliolelewa ndani ya ccm,kuwa ccm inawagombea bora,lazima awe miongoni mwa wanufaika wa ccm ufisadi na wewe ni miongoni mwao!
wewe naona ata vitu huvijui, taarifa ya cag imekuwa magamba?
Wewe unafanana sana na huyu jamaaa, unashangilia usichokijua!!
Rais wa Mioyo ya Watanzania hakuna mfanowe!
Mtabiri mmoja kishasema mgombea URAISI mmoja MZEE atakufa ghafla...