Mpaka sasa hakuna mgombea au mtia nia anayefaa. Hawa wote waliotangaza nia ni sehemu ya watawala ambao wamesababisha ufisadi kuongezeka, umaskini kuongezeka, mafukara kuongezeka, matabaka ya wenye nacho na wasio kua nacho kuongezeka, uchumi wa nchi kuporomoka, shillingi kuporomoka na ghrama za maisha kupanda.
Kwa ufupi wote waliotangaza nia wanaongelea kushugulikia hizi kero lakini hawaongelei kufumua mfumo huu wa utawala uliosababisha matatizo yote tuliyonayo. Kila mmoja anaejitokeza anaongelea kuondoa umaskini, kukuza uchumi, kuondoa matabaka, kuondoa ufisadi na rushwa, kuboresha huduma za jamii maji, afya, elimu, makazi na kadhalika lakini hawa hawa wanasahau kua ni wao ndio wamekua sehemu ya matatizo haya yote over 50 years za uhuru, pia hakuna anaeongelea kwanini haya matatizo nini chanzo? wnakurupuka tu . Report za CAG ni ufisadi kila mwaka, wengine waliuza nyumba za serikali, wengine wamejiuzulu kwa matuhuma kama escrow, richmond, epa etc etc
Tunahitaji mtia nia atakayeongea kufumua mfumo mzima wa utawala na kuchora mstari kwenye baadhi ya masuala kama rushwa na ufisadi. Mtu huyu hawezi hata kidogo kutoka ndani ya ccm kwa sababu ndani ya ccm ukisema kufumua mfumo wa utawala unatafuta shida au uadui, kama unabisha nenda kamuulize mzee Warioba.
Kwa maoni yangu ninaamini mtu ambae anaweza kututoa hapa tulipo ni Dr Slaa tu. Hawa wengine ni porojo na kutafuta kuendelea kufanya yaleyale miaka nenda rudi, hakuna anaeweza kufumua mfumo huu wa utawala uliotufikisha katika dimbwi hili la umaskini na ufisadi uliokithiri, hakuna anaeweza kuichukua rasimu ya pili ya katiba ya mzee Warioba na kuisimamia, hakuna ndani ya hawa waliotangaza na ndani ya ccm.
Tatizo letu limeanzia kwenye mfumo. Jana katika kipindi cha siasa za siasa Dr RYOBA alimwambia Nape kwamba rushwa inaendelea kuwepo na itaendelea kuwepo mpaka tutakapopata serikali makini itakayosema basi. Mambo yote yamekwama kwa sababu ya mfumo wa utawala uliopo. Kuna mgombea mmoja Sumaye i think kidogo na kwa mbali aligusia kuunda mahakama ya kushugulikia rushwa na ufisadi na kuanzisha chombo maalum cha uchunguzi wa wala rushwa na ufisadi, meaning PCCB wamefeli na DPP hapo alikua anagusa mfumo tata uliopo sasa. Lakni hataweza akiwa ndani ya ccm. Kwa ufupi ni wakati muafaka watanzania tuamuke kuchagua kiongozi atakaefumua mfumo ulichemuka na kufeli kuleta mabadiliko for 50 years. DR SLAA IS MY CHOICE
Kwa ufupi wote waliotangaza nia wanaongelea kushugulikia hizi kero lakini hawaongelei kufumua mfumo huu wa utawala uliosababisha matatizo yote tuliyonayo. Kila mmoja anaejitokeza anaongelea kuondoa umaskini, kukuza uchumi, kuondoa matabaka, kuondoa ufisadi na rushwa, kuboresha huduma za jamii maji, afya, elimu, makazi na kadhalika lakini hawa hawa wanasahau kua ni wao ndio wamekua sehemu ya matatizo haya yote over 50 years za uhuru, pia hakuna anaeongelea kwanini haya matatizo nini chanzo? wnakurupuka tu . Report za CAG ni ufisadi kila mwaka, wengine waliuza nyumba za serikali, wengine wamejiuzulu kwa matuhuma kama escrow, richmond, epa etc etc
Tunahitaji mtia nia atakayeongea kufumua mfumo mzima wa utawala na kuchora mstari kwenye baadhi ya masuala kama rushwa na ufisadi. Mtu huyu hawezi hata kidogo kutoka ndani ya ccm kwa sababu ndani ya ccm ukisema kufumua mfumo wa utawala unatafuta shida au uadui, kama unabisha nenda kamuulize mzee Warioba.
Kwa maoni yangu ninaamini mtu ambae anaweza kututoa hapa tulipo ni Dr Slaa tu. Hawa wengine ni porojo na kutafuta kuendelea kufanya yaleyale miaka nenda rudi, hakuna anaeweza kufumua mfumo huu wa utawala uliotufikisha katika dimbwi hili la umaskini na ufisadi uliokithiri, hakuna anaeweza kuichukua rasimu ya pili ya katiba ya mzee Warioba na kuisimamia, hakuna ndani ya hawa waliotangaza na ndani ya ccm.
Tatizo letu limeanzia kwenye mfumo. Jana katika kipindi cha siasa za siasa Dr RYOBA alimwambia Nape kwamba rushwa inaendelea kuwepo na itaendelea kuwepo mpaka tutakapopata serikali makini itakayosema basi. Mambo yote yamekwama kwa sababu ya mfumo wa utawala uliopo. Kuna mgombea mmoja Sumaye i think kidogo na kwa mbali aligusia kuunda mahakama ya kushugulikia rushwa na ufisadi na kuanzisha chombo maalum cha uchunguzi wa wala rushwa na ufisadi, meaning PCCB wamefeli na DPP hapo alikua anagusa mfumo tata uliopo sasa. Lakni hataweza akiwa ndani ya ccm. Kwa ufupi ni wakati muafaka watanzania tuamuke kuchagua kiongozi atakaefumua mfumo ulichemuka na kufeli kuleta mabadiliko for 50 years. DR SLAA IS MY CHOICE