"kwani kumkamata Dr Slaa ndio kutashusha bei ya bidhaa?Kutapunguza Ugumu wa maisha?"
Hapo ndio wale waliokuwa wanauliza "maandamano ndio yanabadilisha mabo..." wanatakiwa kujibu.
Well done ! amani ya nchi lazima ilindwe kwa gharama zozote !
achana nae huyo..unaanzisha vita wakati unakaa nyumba ya viooUna amani gani tumboni na mfukoni mwako?Au by amani ya nchi unamaanisha mafisadi waendelee kubaka taifa pasipo kubughudhiwa?
Serikali ya CCM inaingia kichwakichwa katika kukabiliana na hili la maandamano. Wao hawajui kuwa wananchi wanasubiri kuona viongozi wanaowatetea wanabughuziwa ili moto ulipuke. Hakuna yeyote hapa mwenye uwezo wa kupambana na nguvu ya umma ikilipuka, kashindwa Gaddafi na midege yake itakuwa sie? Tumeshuhudia kila mahala CDM walipofanya maandamano yamekuwa ya amani ya hali ya juu ni ujumbe tu unaokuwa mzito. Sasa uchokozi wa nini?
badala ya kumkamata al adawi yeye anakamata wapambanaji... ya misri na tunisia yanamnukia
Well done ! amani ya nchi lazima ilindwe kwa gharama zozote !
wanahojiwa na polisi kwa kuendesha mkutano jana. Cha ajabu jeshi la polisi lilikuwepo wakati wa mkutano kutoa ulinzi. Radio one
wanahojiwa na polisi kwa kuendesha mkutano jana. Cha ajabu jeshi la polisi lilikuwepo wakati wa mkutano kutoa ulinzi. Radio one
Habari za uhakika kutoka kwa diwani hapa kahama ni kwamba alipokuwa anapita kahama kuelekea Bukoba walimkamata kwa makosa haya:
1. Kufanya mkutano Malampaka bila kibali
2. Kwamba ametoa maneno ya uchochezi kwenye mkutano wa Maswa
3.kwamba kuna nyaraka za siri wanazitafuta, wanahisi yeye anazo- hapo alikataa kukaguliwa
Magari mengi ya CHADEMA yalionekana kituoni na wananchi wakanusa kwamba Dr. amekamatwa wakaanza kusogea kituo cha polisi,
Wamemwachia na ameendelea na safari yake kwenda Bukoba muda mrefu.
Polisi wanasema ilikuwa ni mahojiano tu!!
Nyie Chadema kuweni wakweli Banaaa.
Si msema wanahojiwa kutokana na kauli zao walizozitoa katika mikutano yao zenye kuashiria uvunjifu wa amani na uchochezi.
na ikibainika Nguvu za Doula lazima ziwaangukie kwa kishindo kikubwa sana mpaka wajute kuzaliwa nchi hii.