fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
wanahojiwa na polisi kwa kuendesha mkutano jana. Cha ajabu jeshi la polisi lilikuwepo wakati wa mkutano kutoa ulinzi. Radio one
UPDATE: baada ya kuhojiwa kwa muda na polisi Kahama, Dr Slaa na wabunge wawili wa CHADEMA waachiwa hadi upelelezi utakapo kamilika. Wanaelekea kagera. RADIO1 STEREO.
UPDATE: baada ya kuhojiwa kwa muda na polisi Kahama, Dr Slaa na wabunge wawili wa CHADEMA waachiwa hadi upelelezi utakapo kamilika. Wanaelekea kagera. RADIO1 STEREO.