vipaumbele vilikuwa ni ardhi ya wameru waliyopewa wazungu zaidi ya ekari 7000 na wanailipia kodi ndogo.
MAJI ya vyanzo vyao yaliyopelekwa Monduli
Ajira kwa vijana na kuongezewa mishahara kwa wafanyakazi wa mashamba ya maua
AFYA,ambapo katika kata zote Arumeru Mashariki zina zhanati nane tu,na kuna wakati wamama wanajifungua wakiwa na tochi kwa kukosa pesa ya kupeleka Mafuta ya taa zahanati usiku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.