Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
katika nchi zenye demokrasia, mapato na matumzi ni kitu muhimu kwa kiongozi .
Chadema kwa kuwa ni waumini wa Demokrasia nchini, na nimfano wa kuigwa. kwa mfano Germany waziri alidanganya Reseach yake tu akashindikizwa ajiuzulu
Napendekez baada ya dk slaa kukataa kutaja maposho yake hadharani huku akiwa kioo cha jamii ni wazi watz wengi sasa hawana imani naye.
namshauri kwa kujenga heshima yake imefika wakati ajiuzulu nafasi ya kuongoza.
Huyu talataka sana .Kioo cha Slaa kashindwa kutaja posho au unakurupuka ? Mbona hujasema JK ajiondoe kwenye kwa madhambi kibao kama mauaji ya raia , wizi wamali zetu , Ufisadi na mengineyo ?Demokrasia kwako lazima itokee Chadema ? Soon utakuwa banned unatusumbua na uharo wako .