Naomba tutambue ya kuwepo kwa viwango wa mishahara kutokana na kazi anayoifanya mtu, Dr Slaa alipinga mshahara huo katika level ya UBUNGE ambapo sehemu kubwa ya kazi zake ni eneo la jimbo na si kwa level ya KATIBU MKUU wa chama ambapo anahitaji kutumika nchi nzima hivyo kazi zake zimeongezeka zaidi. KATIBU MKUU wa chama kikuu cha upinzani level yake ni sawa na waziri mkuu!!