Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,280
- 8,495
Kuna habari mheshimiwa Dr. W. Slaa anapokea mshahara mkubwa kuliko katibu mkuu yeyote wa chama cha Siasa Tanzania. Kuna ukweli kwenye hili? Sio kwamba napinga - anastahili kwani aliachia jimbo lake kwa maslahi ya chama.
So what! Jadili mambo ya maana mshara ni yeye na mwajiri wake