Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Mimi namshauri asubiri 2015 ndo akombee URAIS mana wazanzibar bado hajamkubari
mimi namshauri asubiri 2015 ndo akombee urais mana wazanzibar bado hajamkubari
Mimi namshauri asubiri 2015 ndo akombee URAIS mana wazanzibar bado hajamkubari
zanzibar ni kama tarafa ya manzese. We dont need it na ninashangaa Dk Slaa amekwenda kufanya nini huko.
Ukisema hivyo UNA MAANA CHADEMA WANAWANYANYAPAAA WAZANZIBAR??
Huu ni ukweli. Kura za Zanzibar haziwezi kufanya mabadiliko yeyote. Jimbo la ubungo lina wapiga kura wengi kuliko ZNZ. Hakuna hja ya kutumia resources kupoteza nguvu ZNZ wakati wapiga kura ni wachache kuliko hata nusu ya Jimbo dogo kabisa la Tanzania Bara.
Huko Ataenda tu kukamilisha itifaki lakini huwezi kusema kuwa Slaa hajakubalika ZNZ hivyo hatakuwa Rais....hiyo Hakuna
Na mbali zaidi Zanzibar ni nchi na Chadema wanalitambua hilo, na kutakuwa na serekali Tatu, hivyo Slaa hana haja na Zanzibar. Yeye atakuwa rais wa Tanganyika.
Mimi namshauri asubiri 2015 ndo akombee URAIS mana wazanzibar bado hajamkubari
Kama hakubariki zanzibar MUUNGANO ATAUWEZA??
Kama hakubariki zanzibar MUUNGANO ATAUWEZA??
wewe bado unaota ndoto kuwa zanzibar nia sisi ni wamoja, baada ya zanzibara kupata mafuta wazanzibar yaani ccm-zbar na cuf-zbzr waliungana kwa nia ya kuwzuia wabara kugusa mafuta yao, wameweka serikali ya mseto kwa maana ya maslahi ya taifa lao kwanza vyama vyao baadaye. Hivyo hata sisi kule ni kutimiza wajibu tu, hatuna haja ya kuinvest in a dying horse.
Mimi namshauri asubiri 2015 ndo akombee URAIS mana wazanzibar bado hajamkubari