Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Watu wengi wamekuwa wakiushangaa mshahara wa Dr. Slaa, baada ya kutafakari sana. Sijaona tatizo lolote juu ya hilo kwa sababu kuu mbili, ntaitoa moja tu hapa: alijitoa kwenye kinyang'anyiro cha uraisi, akafanya kazi kubwa na upinzani ulionekana kuwa na nguvu, hakuweza kuingia ikuli ila anastahili kuwa hata the most paid politician kutokana na kazi aliyoifanya kwenye uchaguzi uliopita, kwani impact yake ni kubwa sana.