Dr Slaa ana kwa ana na Mama Salma Kikwete

thatha

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
15,340
1,566
10..JPG
Mama Kikwete akihutubia.
8.JPG
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA, akiwa amemshika mtoto mchanga baada ya kukabidhiwa na wazazi wake baada ya ushuhuda walioutoa wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji wa Matibabu ya Fistula- Tanzania. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya CCBRT, Dk. Wilbroud Slaa.
11.JPG
Shuhuda wa ugonjwa wa FISTULA, Beatrice Mlunga (kulia) akitoa ushuhuda wa matatizo aliyoyapata ya ugojwa Fistula wakati wa uzinduzi huo. Kushoto ni mume wake, Hosea Sanga.
12.JPG
Mke wa Rais NaMwenyekiti wa Taasisi ya WAMA , Mama Salma Kikwete (mwenye miwani ) akiponyeza kitufe kuzindua kampeni hiyo.
13.JPG
Mjomba Mpoto akiwatumbuiza waalikwa wakati wa Uzinduzi.
14.JPG
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa na wasanii wa Kikundi cha Mrisho Mpoto pamoja na wafanyakazi wa CCBRT wakati wa uzinduzi.
15.JPG
Wasanii wa kikundi Mpoto wakifanya maigizo.
4.JPG
Baadhi ya wananchi waliohudhuria uzinduzi huo.Picha na Mwanakombo Juma-MAELEZO
Hii ilikuwa ni Uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji wa Matibabu ya FISTULA Tanzania, uliofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar eSalaam Juni 15 2012, Uzinduzi rasmi umefanywa na Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete. Mradi wa Fistula kwa mwaka inakadiriwa wastani wanawake wapya 2,500 hadi 3000 hupatwa na ugojwa huo wakati wanapojifungua. Kwa sasa wanawake zaidi ya 31,000 inasemekana wanalo tatizo la Fistula hapa nchini, Hivyo Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ametoa wito wakina mama wenye matatizo ya Fistula kumuacha kujificha kwani unatibika .hivyo waende katika matibabu ambayo hupatikana ktk hosp. ya CCBRT jijini DSM na hosp, ya Kilutheli ya Selian.


 
Hakuna tatizo mbona wote ni watanzania kama kuna jambo la kufanya pamoja ni sawa lakini ikifika mahali kutofautiana na kwa maslai ya taifa siyo tatizo kutofautiana, na kutofautiana kwa itikadi siyo uadui tudumishe umoja lakini tusiache kutofautiana kwa fikra ndiyo chimbuko la maendeleo. Kwa hiyo Slaa kuwa na mama Kikwete hakuna tatizo.
 
Dr Slaa Uongozi ni kuwatumia watu kwa moyo endelea kuwa mfano Kamanda
 
Ubarikiwe dk' jaman nani kama dk' tz hii,. Watanzania wote tunakupenda dk unaemchkia dk ikifika 2015 uame nchi urudi tena 2025,. Hahahahaaa
 
Nadhani mtoa mada alikuwa na dhamira safi kuelezea uma kuwa pindi inapokuja kwenye suala la watanzania tunaweka upinzani kando tunaungana pamoja, big up dk n salma
 
Duuu mama Salma Kikwete hongera wewe pamoja na Mzee mlipima ingiwa majibu bado ni kitendawili!!
 
Back
Top Bottom