Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,404
- 7,311
Hahaahaha,
Dr ametoka nduki.
Chadema hawana ubavu wa kusimama na CCM.
Nape peke yake mnamuogopa je ingekuwa safu nzima ya CCM ingekuwaje?
Ndugu punguza mapenzi ili uweze kuwa huru,mm ccm lakini ww ambaye umehamia umezidisha mapenzi mpaka napata wasiwasi ukikosa unachokitaka je utotugeuka