WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
http://4.bp.blogspot.com/_HO8ijU76ZcQ/TIY9D57E_rI/AAAAAAABO2E/qiIowDI1fwQ/s1600/slaa1.jpg
ok, kumbe jamaa kapata uchungu leo tokea muda wote, huyo hajitambui ameshapigwa ganzi. Go go go go Slaa don turn your back and we wont as well!!!!!!!!!!!!
Inafurahisha sana pale mtu unapokuwa huna haja na kitu, ukakitupa na kukiona hakina thamani. Mpita njia anapokiokota na kukipa hadhi, unakurupuka na kuanza kudai umeibiwa!
Mahimbo, iko wapi ile pride ya kiume?...Kwa kweli unawaaibisha wanaume wenzio, unaonyesha ulivyo maskini wa roho na kufikiri.Ungekuwa unamthamini mkeo na kumjali asingeondoka kwako toka mwezi Machi mwaka huu, ukakaa kimya hadi uliposikia katangazwa mchumba ( First lady to be). ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE USICHUKUE HATUA HATA YA KUMBEMBELEZA NA KUMWAMBIA MAMAA RUDI NYUMBANI TULEE WATOTO. Mbona wana ndoa wengi hukabiliwa na changamoto zinazopelekea mwanamke kuondoka lakini kwa busara za waume wenzio, hufanikiwa kuwashawishi wakarudi na maisha yakaendelea!
SHAME ON YOU KUJARIBU KUTAJIRIKA PALE AMBAPO HUJAPANDA!