Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Unahalalisha makosa ya Dr and Mrs Slaa to be. Ndoa it not all about kumaliza tamaa za mwili, it is about the family hasa pale unapokuwa na watoto wadogo. Nadhani Josephina ana makosa kuliko Slaa. Huyo mume alitakiwa amshtaki mkewe at the first place kwa kuvunja mkataba waliokubaliana kanisani, mbele ya mashahidi kuwa watakuwa pamoja kwa shida na raha hadi kifo kitakapowanganisha. Ni vyema kuona vithibitisho vya ndoa ya Josephine kuvunjwa, vinginevyo mama hana aibu ya kutambulishwa kama mpenzi huku akijua fika ana ndoa.
Kama watoto wako na Mama na Baba hajui wanakula nini na wanavaa nini nani kashindwa kazi ya malezi hapa. Josephine alitakiwa awe ameshampeleka huyo mwanaume ustawi wa jamii kwa kushindwa kuhudumia watoto