Dr Shein a role model president we never had!!!

yeah ni analysis nzuri hii, lakini tujiulize aliepita kwann hakuweza kufanya haya kwa miaka kumi aliyokuwa madarakani?
 
Mkuu, tueleweshane zaidi huo ustahiki ulivyo kwa CUF hapo penye wino mwekundu.

Mkuu,

Huko peke yako mie binafsi nilikuwa impressed sana nilipomuona Mke wa rais wa zanzibar akienda kufuturu na wananchi wa kawaida vijijini na sio kuwaita watu wamfuate ikulu. Hata hivyo tusubiri bado mapema sana.

Hata hivyo CUF nao wanastahiki kupongezwa sana kwani wana ushiriki mkubwa katika haya mafanikio. Tunawaombea kila la kheri na sie Tanganyika tupate vigezo vya kuleta mageuzi kwetu.
 
Mkuu, tueleweshane zaidi huo ustahiki ulivyo kwa CUF hapo penye wino mwekundu.

CUF wameshirikia katika uundwaji wa serikali ya umoja Zanzibar (GNU) na kwa kiwango kikubwa wameweza kuwazindua CCM katika usingizi wa kwamba iko siku wanaweza kufa kabisa wakasahaulika. Mfano halisi huu wa habari hii hapa:-

[h=2]Zanzibar minister warns new food price violators[/h]


By The guardian reporter



6th September 2011


email.png

Email



printer.png

Print



comment_bubble.png

Comments




Nassor%20Ahmed%20Mazrui%20%281%29.jpg


Zanzibar Trade, Industry and Marketing minister Nassor Ahmed Mazrui



Zanzibar Trade, Industry and Marketing minister Nassor Ahmed Mazrui has warned that strong legal measures will be taken against traders who would violate food price caps set by the government.

Last month the government announced new prices for rice, sugar and wheat flour.

However, some traders have been ignoring the prices, claiming that they would cause them losses.

Mazrui said the government would start arresting and taking to court those who disobeyed the price order, including revoking their trading licences.

"We'll use our trade officers and other state organs to arrest violators," said the minister, who is from the Civic United Front (CUF).

He said the government had taken into consideration the profit margin each category of trader would get from the food they sell. He said a retailer would make a 2,500/- profit from a 50kg bag, while a wholesaler would make 1,200/- from the same bag; while for sugar they would make a 2,500/- profit.

Mazrui said before the new prices were announced the traders were making up to 10,000/- from the same bag.
The minister said the government had decided to intervene in order to establish a balance as the traders were apparently putting their interest above the public interest.
He said 'Mapembe' rice would sell at 1,060/- a kilo in urban areas and 1,070/- in rural areas in Unguja, while in Pemba, the rice would be sold at 1,100/- per kilo in urban areas and 1,120/- in rural areas.
He said a 50kg bag of rice would sell at the wholesale price of between 50,350/, and 49,360/- for wheat flour weighing 50kg.
Minister Mazrui said the wholesale price for sugar would be 48,400/- per 50kg bag. The minister said that Zanzibar consumed an average of 60,000 tonnes of rice annually.
He called on the people to report any traders who would be found to sell food at higher prices other than those set by the government. He directed all traders to indicate the prices of food items so that buyers would be able to see them even from afar.
Some traders have objected to the the new prices, A trader, Juma Ali Haji, who conducts his business at Darajani area, said the municipality charged them a fee of 500/- on a daily basis, while they have to pay 50,000/- for a business licence and 15,000/- for contractual forms annually.
Suleman Ali said it would have been wiser if the government had involved the traders before setting the new prices.




SOURCE: THE GUARDIAN
 
Duh! Kazi nzuri Dr Shein kama ndiyo hali halisi ya Zanzibar unastahili pongezi. Inawezekana ni matunda ya kufanya kazi na mtu kama Mkapa, sasa la kuangalia akiweza kuhifadhi pesa nyingi asije geuka kama Mkapa
kazi na kula hapana shida bwana,good job DAKTARI.
 
Dr shein ni rais wa zanzibar ambaye wengi wetu tulikuwa tunamfahamu kama mzee wa mikasi. Nimekuwa namfuatilia kwa karibu utendaji wake tangu ashike madaraka. Sasa hivi wamefikia miezi sita tangu serikali anayoiongoza ashike hatamu na kwa utendaji wake na performance ni wa kuigwa. Nimefanya tathmini haya yafuatayo:-

Aliposhika madaraka motto ya uongozi wake ni Zanzibar yenye maendeleo na kujitegemea.

Vitu alivyovifanya hadi sasa tangu awe kiongozi wa nchi:-

a. Ameweza kutengeneza motto ya serikali ni kuhakikisha wizara za zanzibar zinakuwa na mipango sahihi na kutekelezeka.

b. Amepunguza matumizi ya viongozi wa juu wa serikali pamoja na safari zisizo na muhimu na kuongeza mishahara ya wafanyakazi wa chini kwa zaidi ya asilimia 100.

c. Zanzibar ina current account surplus na imekuwa inaongezeka kila mwezi kuonyesha kukuwa kwa exports kuliko imports in the country.

d. GDP ya zanzibar inakuwa kwa kasi na ndio inachangia kwa kukua kwa sekta ya uzalishaji (production and trade) Tanzania.

e. Hospitali kuu ya mnazi mmoja inafanyiwa ukarabati mkubwa jambo ambalo hospitali hii ilitelekezwa kitambo.

f. Ameweza kuwakamata wafanyabiashara wakuu wa madawa ya kulevya zanzibar na wako mbio kufikishwa mahakamani.

g. Airport kuu ya unguja inaanza kujengwa kufikia hadhi ya kimataifa (jambo lilikuwa hekaya za kufikirika zamani) na wameanza mchakato wa kuanza kujenga airport kubwa pemba.

h. Zanzibar wako mbioni kuanzisha shirika lao la ndege.

i. Amepandisha bei ya karafuu kutoka shillingi 3,000 hadi Tshs 20,000 (na hivyo kutatua tatizo la umaskini kwa upande mwengine kwani ni zao la karafuu ni uti wa mgongo wa zanzibar na serikali ililitupa mgongo na matokeo Kenya wametajirika na wengine wameamua kuacha kulima karafuu na kufanya biashara na vijana wengine kuwa hawana kazi) baada ya kupanda bei vijana wengi wameamua kurudi shamba kuanza kulima tena karafuu.

Hayo ni machache ninayo fahamu ila binafsi nampa pongezi Dr Shein wewe ni kiongozi makini na tunasikia mwadilifu mmungu akupe nguvu uendelee na umakini huo huo uwasaidie wazanzibar kwa walikuwa maskini mno!!! Tunatamani uje kutuongoza na sie Tanganyika kwani tumekosa mwelekeo kwa sasa!!!!
hapo nilipo bold,mzanzibar aongoze kwake,tanganyika kuna watu wake,hatuwezi kuongozwa na mzanzibar karne,thos edays za wao kuongoza huku ziliisha,na hawa wachache waliopo kwenye uongozi huku tanganyika watakuja kwisha kabsa,hawana nafasi tena huku
 
SMZ yaondoa muswada wa mafao ya viongozi Send to a friend
Saturday, 22 October 2011 09:32
0digg

Talib Ussi, Zanzibar
BARAZA la Wakilishi Zanzibar (BLW) limeukataa muswada wa sheria uliohusu maslahi na mafao ya viongozi wakuu wa nchi akiwamo rais na makamu wake baada ya kustaafu.

Mwenyekiti wa Kamati ya Viongozi wa Kitaifa katika Baraza la Wakilishi, Hamza Hassan Juma, alisema wameitaka wizara husika kufanyia marekebisho vipengele ambavyo wajumbe waliviona vina kasoro kubwa. Hamza alisema siyo vyema kuangalia maslahi ya vingozi bila kuangalia hali ya uchumi wa nchi hasa kutokana na gharama kubwa zinazohitajika kwenye muswada huo.

Kwa upande wake, Spika wa Baraza la Wakilishi, Pandu Ameir kificho, alisema wajumbe wengi wameona ni bora kuwekwa vipaumbele kwenye masuala ya uchumi na mambo yanaohusu jamii kuondoa umaskini. "Suala hili lingali linaleta mgawanyiko kidogo kwenye jamii, ndiyo maana wajumbe wakaona ni vyema kuliweka kando kwanza na kwenda kulitafakari upya kwa maslahi ya taifa," alisema Kificho na kuongeza:

"Muswada huo umeondolewa kutokana na kuwapo kasoro nyingi na hata upande wa tafsiri yake katika vifungu vingi havifahamiki."
Katika muswada huo ulikuwa unampa rais uwezo kupokea mshahara wake wote baada ya kustaafu na pindi anapofariki, mkewe angepokea pencheni kama mshahara wa rais aliyopo madarakani.Kwa upande wa makamu wa rais, kama akifariki mkewe angepokea kwa muda wa miaka mitatu mshahara sawa na aliokuwa akipokea mume wake akiwa madarakani.

Pia, spika akistaafu angelipwa kiinua mgongo kwa asilimia 50 mshahara wake aliokuwa akilipwa akiwa madarakani. Kuondolewa kwa mswada huo ni kuzima hasira za wananchi kutokana na kudai kuwa Serikali inatoa kipaumbele kwa viongozi, ilhali wananchi wanaendelea kuwa maskini wa kutupwa.



Source: Mwananchi.

MTAZAMO: Niliposoma huu mswada niliona kuna kasoro kubwa hasa kuhusu suala la mafao ya familia za viongozi. Hilo litaliongezea mzigo serikali kwani serikali ikiwa inahudumia baba, mama na watoto na wake zao na wajukuu utakuwa mzigo mkubwa sana. HONGERA BUNGE LA ZANZIBAR KWA KUWEKA UZALENDO MBELE KULIKO SIASA. Priority ni hali ya uchumi kwanza na sio mafao. Tunasubiria kuwajibishwa kwa watu waliosababisha ajali ya Meli ya MV Spice Island.
 
[Q
UOTE=Mdondoaji;2687136]Wewe unatafuta ugomvi na Magamba[/QUOTE]

na kweli anatafuta ugomvi,ila kiukweli dr shein anakwenda vema
 
Nilijua tu Dr. Shein angeweza kuwa rais mzuri kwa zanzibar

Ila kwa Tanganyika unahitaji mtu mkali sana sana kwasababu watanganyika wamezoea viboko period
 
Maalim Seif: Zanzibar iwe na Benki Kuu yake




Na Charles Mwankenja



26th December 2011


email.png

B-pepe



printer.png

Chapa



comment_bubble.png

Maoni




Seifuwaandishibifu(2).jpg

Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (Cuf), Maalim Seif Sharif Hamad


Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (Cuf), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema ni muhimu kwa sasa Zanzibar kuwa na benki kuu yake ikiwa inataka kutumia kikamilifu rasilimali zake kujenga uchumi wake.
Maalim Seif ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, akizungumza katika viwanja vya Kibandamaiti mjini hapa juzi alisema kuendelea kutegemea Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kunainyima Zanzibar kutekeleza mipango yake ya maendeleo kwa ufanisi.
Aliuambia umati mkubwa uliojaa kwenye viwanja hivyo kuwa wananchi visiwani humo wanaweza kudai haki ya Zanzibar kuwa na benki kuu kwa njia ya kutoa maoni kupitia hatua mbalimbali za mchakato unaoendelea juu ya Katiba mpya ya Tanzania.
Akizungumzia huduma za BoT kwa Zanzibar, Maalim Seif alisema uwiano mbaya wa wafanyakazi kutoka pande mbili za Muungano unasababisha upungufu wa wataalam wa kuishauri benki hiyo juu ya mahitaji ya Zanzibar.
"Ikiwa kwa mfano BoT ina wafanyakazi 80 na wanne tu wanatoka Zanzibar, bila shaka uwiano huo ni mbaya katika suala la utoaji vipaumbele kwa maendeleo ya visiwani," alisema Maalim Seif.

Alisema umuhimu kwa Zanzibar kuwa na benki kuu yake sio jambo jipya, kwani hata awamu ya kwanza ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliweka wazi madai ya aina hiyo ikitaka kila upande uwe na mambo yake katika masuala ya kibalozi, shughuli za polisi, uraia na sarafu.
Alisema wakati wa kutoa maoni juu ya Katiba mpya, pamoja na kudai haki ya kuwa na benki kuu, wananchi waungane ili maoni yao yaweze kusaidia upatikanaji wa katiba itakayoondoa suala la mafuta na gesi asilia katika orodha ya mambo ya muungano.
Maalim Seif alisema ukosefu wa umoja miongoni mwa wananchi katika suala la kudai maslahi ya Zanzibar ndani ya Katiba mpya ni hatari kwa utaifa wao.
"Utakapofika wakati wa kutoa maoni tusahau itikadi zetu, tuungane kulinda maslahi ya Zanzibar, vyama vya siasa ni taasisi za kupita, ASP haipo, Tanu haipo na ZNP haipo, lakini Zanzibar itaendelea kuwepo," alisema.
Maalim Seif pia alisisitiza msimamo wa kutaka Katiba mpya itakayoundwa iweke utaratibu unaoruhusu mzunguko wa madaraka ya nafasi ya rais wa muungano baina ya Zanzibar na Tanganyika.
"Mwandishi mmoja wa habari juzi alitaka nieleze maslahi ya Zanzibar ninayowahimiza wananchi kudai yawekwe ndani ya Katiba mpya, nikamwambia mfumo wa sasa wa uchaguzi umesbabisha nafasi ya rais wa muungano kubaki bara kwa muda mrefu," alisema Maalim Seif akiwa anarejea jibu alilotoa katika mkutano wake na waandishi wa habari baaya kuulizwa swali hilo na Muhibu Said, Mwandishi wa habari mwandamizi wa NIPASHE.
Akifafanua zaidi haja ya kuwepo utaratibu wa kikatiba unaoruhusu nafasi hiyo kutolewa kwa mzunguko, Maalim Seif alisema chini ya mfumo wa uchaguzi uliopo Zanzibar imeshika nafasi hiyo kwa miaka 10 tu wakati Tanzania bara imehodhi wadhifa huo kwa miaka 35.
Alisema hiyo ni kasoro katika uendeshaji wa serikali ya muungano iliyoundwa na mataifa mawili ambayo ni nchi.



CHANZO: NIPASHE

Mtazamo: Superb move kwa wazanzibari independence in the banking system will boost your economy and remove bureaucracy nawaunga mkono na kuwatakia kila la kheri.
 
Pamoja na Ufisadi, nadhani ni bora pia sifa japo kidogo zikamuendea Mkapa aliyemuibua kwenye jukwaa kuu. At that time wengi tulimuona ni mgeni sana kwenye siasa na hatukuwahi kumsikia kabla.
Pia Karume aliweka mipango mizuri ambayo Dr. Shein anaitekeleza now maana alikuwa anajiandaa kuwa raisi wa muungano baada ya kustaafu Zanzibar. Aliyeharibu mpango huo ni Mkapa baada ya kuona kuwa Zanzibar haitatawalika kama Bilal ataachwa mtaani.
 
Pamoja na Ufisadi, nadhani ni bora pia sifa japo kidogo zikamuendea Mkapa aliyemuibua kwenye jukwaa kuu. At that time wengi tulimuona ni mgeni sana kwenye siasa na hatukuwahi kumsikia kabla.
Pia Karume aliweka mipango mizuri ambayo Dr. Shein anaitekeleza now maana alikuwa anajiandaa kuwa raisi wa muungano baada ya kustaafu Zanzibar. Aliyeharibu mpango huo ni Mkapa baada ya kuona kuwa Zanzibar haitatawalika kama Bilal ataachwa mtaani.

Si mchezo, Bitabo get your fact right,Dr Salmin ndiye aliyemuuingiza kwenye siasa Dr Shein, kwani Shein alikuwa ni mfanyakazi tu katika wiraza ya Afya ZNZ na katika uchaguzi wa 1995 akamlazimisha agombee uwakilishi jimbo la mkanyageni na kwa bahati mbaya akashidwa na CUF, na baada ya kushidwa Dr Salmin akamteuwa kuwa mwakilishi wa kuteuliwa na akampa unaibu waziri na ndiyo hapo safari ya shein ilipoanza kisiasa.Mkapa alipomteuwa kuwa makamo wa raisi na mgombea mwenza just alifuata tu matwakwa ya CCM ZNZ.
 
Hayo ndio matunda ya Serikali ya umoja wa kitaifa. Kwani wakti wa malumbano umekwisha sasa wanajenga nchi.

Hongera Dr Alli Moh'd Shein
 
Hayo ndio matunda ya Serikali ya umoja wa kitaifa. Kwani wakti wa malumbano umekwisha sasa wanajenga nchi.

Hongera Dr Alli Moh'd Shein
Ah...nchi yenye ukubwa kama wilaya nadhani hata Lusinde anaweza kuiendesha. Hivi ile ripoti ya tume iliyochunguza kuzama kwa ile meli iliyoua wazanzibari wengi imefanyiwa kazi au ndiyo hivyo tena viongozi(including Shein) wapowapo tu kama majoka ya kibisa kwenye hii issue?
 
Back
Top Bottom