Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 603
- 340
Habari za kuaminika nimezipata sasa hivi kuwa Dr Kafumu amelazwa hapa Hospitali ya Nkinga mission baada ya kupata ajali wakati akitokea Tabora kukata rufaa ya kupinga hukumu ya kuvuliwa ubunge.Ameumia vibaya sehemu za kichwani. Habari nimepewa na doctor mmoja ambaye yupo karibu nami.Nitawajulisha zaidi.