Dr. NDODI: Kuvaa suruali kuna madhara kwa wanawake

Duh inabidi tuchambua kwa kina hoja zake labda kuna ukweli.

Kwenye swala la vitambi kuhusiana na nguo zinazobana kwa wanawake sidhani kama kweli.Wako wakina dada wengi sana ambao hawana vitambi, wanavaa suruali zinazobana kila siku na hawajapata vitambi.Swala la kitambi hapa linatoka na ukosefu wa mazoezi na kula bila mpangilio kwa pande zote za jinsia.


Kwenye swala la kujaa maji kwa wanawake tuna msubiri Michelle alete jibu lol.Nadhani dokta kachukulia kwa juu juu kwamba mtu akivaa soksi zinazo mbana miguu uvimba basi kaona labda na mwanamke akivaa suruali inayobana ikulu inajaa maji (maoni yangu).


Sasa labda anavielezo zaidi na kafanya utafiti hai.Atuambie aliwachukua wanawake wangapi ambao hawana vitambi na kuwavalisha suruali zinazo bana kwa mda gani mpaka akaja na maamuzi haya.
 
Yule ni mtaalamu,yaweza kuwa kweli......:coffee:

Nitajicheki kesho ntakuja jibu.........hilo la maji.....l.o.l


Kabla ya leo si ulikuwa unavaa jeans za kubana? lol Haya sasa tuletee jibu kutokana na siku za nyuma sidhani kama ukijaribu leo kesho utakuja na jibu lol.
 
Hawa wamefanya utafiti na majibu waliopata ndio haya :


Women who wear too tight jeans take the risk of suffering from a nerve problem called meralgia paresthetica - Tingling Thigh Syndrome.
The tight pants put pressure on the femoral cutaneous nerve that runs through the thigh causing tingling and burning through the leg.Also, tight pants interfere with the motility of the bowel which causes abdominal pain two to three hours after a meal, according to Dr. Octavio Bessa, a U.S. internist.

A few years ago the Canadian Medical Association Journal recommended that tight trousers were not suitable for "heavy women" and suggested that women return to wearing traditional high-waisted jeans or preferably loose dresses ...
But it's not only the women who need education. Men should limit their wearing of tight fashion as well. Wearing tight pants can cause infertility and damage to the testicles. In 1986, a scientific study found that tight pants or underwear could lower a man's sperm count.
And in the 16th century, Russian peasants actually used bearskin pants as a method of birth control



Hizi hapa wanasema ni poa kwa vile sio ngumu kama jeans,please wakina dada msiache kuvaa hizi zinatuvutia sana.

tight_pants_sexy_pants.jpg
 
Nenda na ka twenty kako kakaliwe kwa kuambiwa yale aliyokuwa akisema kwenye TV
 
dah basi nfoja nuwatafuta Hashy, Michelle na Nilham wako pande gani.....
hao jamaa daily wanaachana na kurejeana kama stori ya kanumba vile. kila wiki wanaanzisha sredi za kupendana na kupigana vibuti. dah!
 
Kabla ya leo si ulikuwa unavaa jeans za kubana? lol Haya sasa tuletee jibu kutokana na siku za nyuma sidhani kama ukijaribu leo kesho utakuja na jibu lol.

mmhhh you will be shocked.....its true...kuhusu hilo la maji,nimemuuliza pia na shoga yangu hapa.
 
hao jamaa daily wanaachana na kurejeana kama stori ya kanumba vile. kila wiki wanaanzisha sredi za kupendana na kupigana vibuti. dah!

Think Kloro Think before you say.......kinakuuma sana tukiachana eeehhh!!!.......mwambie hujanikuta alokutuma kwangu......
 
hao jamaa daily wanaachana na kurejeana kama stori ya kanumba vile. kila wiki wanaanzisha sredi za kupendana na kupigana vibuti. dah!

Think Kloro Think before you say.......kinakuuma sana tukiachana eeehhh!!!.......mwambie hujanikuta alokutuma kwangu......


wajameni..tusepeni hapa kabla mambo hayajaharibika..

How r you Michelle?
 
wajameni..tusepeni hapa kabla mambo hayajaharibika..

How r you Michelle?
mkuu usishtuke sana mimi na michelle ni kama gari bovu na spana. yaani ukiona nimebeep ujue nataka arejeshe tu halaf titanic yetu inaendelea kama kawa
 
Back
Top Bottom