Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Naona Mh. Dr Emmanuel Nchimbi katoa heri ya mwaka mpya na wadau woote wamempongeza tofauti na viongozi wengine wa CCM ambapo huweza kushushuliwa live, ila kwa huyu mh. watu almost wamemfagilia! Inapendeza!
Emmanuel John Nchimbi
Rafiki zangu wa FB
You, Shy-Rose Bhanji, Regia Estelatus Mtema, Frederick Lyimo and 129 others like this.
50 of 65
Stella Chipanha Amen
3 hours ago · Like
Elia Malisa Asante kwa ku2kumbuka
3 hours ago · Like
Ally Meku Mungu akusimamie ktk kila jambo zuri ambalo unahisi litakuwa linafaida kwa Watanzania! Ili siku moja uje ukumbukwe ktk Utumishi uliotukuka..
3 hours ago · Like
Mkulima Wa Kisasa Mhe.tukumbuke tu cc wakulima pia
3 hours ago · Like
Frank Nyabundege Tuko pamoja kamanda...
3 hours ago · Like
Genchwere J. Ruge Pamoja mkuu
3 hours ago · Like
Jacqueline Godfrey ooh!! tunashukuru mweshimiwa,inashangaza bt ninachoweza kusema wewe nimfano wakuigwa.tunakutakia afya njema,mungu akulinde akupe wepesi ktk kila jambo.
3 hours ago · Like · 1
Taphawa Abubakary Ngwada thanx! president of 2020, don't worry about that.
3 hours ago · Like · 1
Flora Dhobe Amina, mwenyezi MUNGU akuzidishie baraka na upendo, kwakila uliombalo litimie kwa uposi.
3 hours ago · Like
Emmanuel Martin Sulle pamoja sana mweshimiwa
3 hours ago · Like
Beatrice Nchimbi Pamoja mh.
3 hours ago · Like
Frank Richard kila la kheri kiongozi,Mungu akupe afya njema na kila lililo jema katika maisha yako. kwa pamoja tutashinda
3 hours ago · Like
Molio Baldwin Asante muheshimiwa...na tuendelee kuijenga nchi.tuko pamoja
3 hours ago · Like
Cosmas Haule Hakuna jambo muhimu kama kushukuru! shukrani kwa Mungu wako na kwa wale wote wanaokuombea mema ktk majukumu makubwa uliyonayo!!! maandalizi mema ktk kuupokea kwaka mpya!!!
3 hours ago · Like · 2
Frankie G Odomali Pamoja tunaweza!afya njema kwako
3 hours ago · Like
Petty Zephrine Mungu akujaalie uendelee kuliendesha jaazi hili la vijana
3 hours ago · Like
Paul Dominic Asante mheshimiwa, Mungu akujalie baraka zake upate nguvu zaidi ili uendelee kulitumikia Taifa lako na watu wake.
2 hours ago · Like
Eddy Mwinuka Usijali Mheshimiwa najua umetingwa sana.
2 hours ago · Like
Isaya James Barikiwa mheshimiwa! Tunashukuru kwa kutambua na kuthamini michango yetu!
2 hours ago · Like
Zee Matau Linus Pamoja mh..nawe ubarikiwe
2 hours ago · Like
Christina Mokimilya asante mheshimiwa,MUNGU azidi kukupa kibali.
2 hours ago · Like
Aidan Ngole karibu.
2 hours ago · Like
Zidikheri Shemsanga very well an congrats 4 the doctorate!
2 hours ago · Like
Nilsson Mujjuni Kamulali Asante muheshimiwa be blessed
2 hours ago · Like
Ailly Mlwafu mkuu nikushukuru sana kwa jinsi ulivyo kiongozi wa kuigwa, kiongozi unayehusika hasa na vijana maana kiukweli sekta yako inahusika na vijana. mimi nitumie nafasi hii kutoa maoni yangu kwako na kwa serikali hasa kuhusu masuala mengi yanayohusu vijana bado hayajapewa kipaumbele kama suala la ajira kwa vijana na tatizo kubwa. ni aibu kwa graduates kuwa vibaka na makahaba eti kwa sababu ya ajira. mweshimiwa naomba kutoa hoja
2 hours ago · Like · 2
Irene Masaki Tunashukuru sana mheshimiwa pamoja sana n be blessed bro.
2 hours ago · Like
Lulu Kifera Tanx honourable,Mungu akupe afya njema
2 hours ago · Like
Egbert William Kiiza Asante kwa salamu zako za kututakia Mwaka Mpya. Nawe pia tunakutakia Mwaka Mpya mwema na wenye mafanikio tele. Mwenyezi Mungu akupe HEKIMA katika kuongoza Wizara yako.
2 hours ago · Like
Hendrick Arséñá Franky Safii sana!@Mh.Kazi kwanza taifa lisonge mbele
2 hours ago · Like
Tusa Moses Amen, hon. Nchimbi, stay blessed.
2 hours ago · Like
George Bitababaje appreciated-mheshimiwa-for-what,u-have-done.mungu-akubariki-mkuu
2 hours ago · Like
Baibe Kimmy Amen, heri ya mwaka mpya na kwako pia.
2 hours ago · Like
Lucian Ngeze Heri ya 2012 kwako pia mheshimiwa..Uwe mwaka wa kujituma zaidi, na kutimiza yale waTZ kwa ujumla wao wanayotegemea kutoka kwako...
2 hours ago · Like
Karliar Mshana Ok, bt mfanye kaz kw manufaa ya taifa na co kw matumbo yenu binafs. Mwaka mpya mwema.
2 hours ago · Like
Mujuni Gaulah Kajala na wewe heri ya mwaka mpya mbunge wangu,,
about an hour ago · Like
Maurice Nchimbi nashukur lakn kama ni kiongoz wa taifa hil jtahd kuondoa tabak lilpo kat ya walionao na wasionacho her ya mwaka mpya
about an hour ago · Like
Maurice Nchimbi nashukur lakn kama ni kiongoz wa taifa hil jtahd kuondoa tabak lilpo kat ya walionacho na wasionacho her ya mwaka mpya
about an hour ago · Like · 1
Deo Baraka Mambo Pamoja tutajenga taifa bora! Big up Mh.
about an hour ago · Like
Christopher Thomas Mullemwah Don't mention brother we are together for our national and our self.May our almighty God keep on blessing you with your family in the coming new year of 2012.
about an hour ago · Like · 1
Amon Mkoga Kwako pia Mhe.
about an hour ago · Like
Felix Elliah Staki Kila la kheri Mheshimiwa.
about an hour ago · Like
Julius Oba Rugiga Na kwako pia mkuu..
57 minutes ago · Like
Wema Hassan Tunashukuru sana mkuu, be blcd ktk majukumu yako ya kila siku.
38 minutes ago · Like
Glory Mziray asante, Mwenyeezi Mungu ajibu kila haja ya moyo wako kwa mwaka 2012
36 minutes ago · Like
Festo Mombo Tutafurahi zaidi kama Taifa Stars itakuwa mmoja ya timu bora Afrika.Heri ya mwaka mpya mheshimiwa.
35 minutes ago · Like
Glady Mlemba Pamoja sana Mkuu. Big up and ol da best in ya plans.
33 minutes ago · Like
Aliko James Na kwako pia Kiongozi Mungu akuongeze ktk kazi zako za kila siku, MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA
32 minutes ago · Like
Berious Nyasebwa nashukuru kamanda heri ya mwaka mpya na kwako pia
32 minutes ago · Like
Shy-Rose Bhanji ‎Emmanuel John Nchimbi Asante sana kwa maneno ya shukrani. Hichi ni kipimo cha juu kabisa cha mwanadamu pale ambapo anaonyesha uungwana wake kwa kushukuru. Neno ASANTE ni dogo sana lakini lina maana kubwa sana. Mungu aendelee kukubariki kwa uungwana uliotuonyesha marafiki zao wa karibu na vile vile wa sura kitabu. Nimalizie tu kwa kusema kwamba, wakati umeteuliwa kuwa Waziri binafsi nilifurahishwa sana na uteuzi huu, kwani umekuwa ni kiongozi ambaye huna makuu na you are just a phone call away. Pia ni rahisi sana kuongea na wewe tofauti na viongozi wengi hata kusalimiana nao unajiuliza mara mbili...NAKUTAKIA KILA LENYE HERI KWA 2012 WEWE PAMOJA NA FAMILIA YAKO. IKIMPENDEZA MOLA WETU TUUONE MWAKA MPYA NA MIAKA ZAIDI NA ZAIDI!
24 minutes ago · Like
Hafidh Saleh Suleiman Usijali Mh. tupo pamoja nawe
20 minutes ago · Like
Emmanuel John Nchimbi
Rafiki zangu wa FB
Rafiki zangu wa FB
Tunapokaribia mwisho wa mwaka huu wa 2011, naomba nitumie nafasi hii kuwashukuru kwa dhati kwa kunivumilia kwa kutopatikana kila nilipohitajika ndani ya FB. Naomba mtambue kuwa nawathamini sana. Nawashukuru kwa michango mbalimbali ya mawazo ambayo mmekuwa mkinipa. Lazima nikiri kuwa mmekuwa watu wa msaada mkubwa katika majukumu yangu ya kila siku. Vilevile, nawashukuru kwa salaam za kunitakia kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu. Nilipata salaam zaidi ya 3000 na naomba nibainishe kuwa deni hili halilipiki lakini tafadhali nimuombe kila mmoja wenu apokee shukurani zangu za dhati kabisa.
KIPEKEE POKEENI SALAAM ZANGU ZA KHERI YA MWAKA MPYA, MWENYEZI MUNGU AWEKE MKONO WAKE KATIKA KILA JITIHADA MTAKAYOIFANYA KATIKA KUBORESHA MAISHA YENU NA MAENDELEO YA TAIFA LETU.
Nitaendelea kufanya kazi kwa juhudi ili nisiwaangushe ninyi Rafiki zangu na watanzania wenzetu wote popote walipo.
Unlike · · 3 hours ago · Tunapokaribia mwisho wa mwaka huu wa 2011, naomba nitumie nafasi hii kuwashukuru kwa dhati kwa kunivumilia kwa kutopatikana kila nilipohitajika ndani ya FB. Naomba mtambue kuwa nawathamini sana. Nawashukuru kwa michango mbalimbali ya mawazo ambayo mmekuwa mkinipa. Lazima nikiri kuwa mmekuwa watu wa msaada mkubwa katika majukumu yangu ya kila siku. Vilevile, nawashukuru kwa salaam za kunitakia kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu. Nilipata salaam zaidi ya 3000 na naomba nibainishe kuwa deni hili halilipiki lakini tafadhali nimuombe kila mmoja wenu apokee shukurani zangu za dhati kabisa.
KIPEKEE POKEENI SALAAM ZANGU ZA KHERI YA MWAKA MPYA, MWENYEZI MUNGU AWEKE MKONO WAKE KATIKA KILA JITIHADA MTAKAYOIFANYA KATIKA KUBORESHA MAISHA YENU NA MAENDELEO YA TAIFA LETU.
Nitaendelea kufanya kazi kwa juhudi ili nisiwaangushe ninyi Rafiki zangu na watanzania wenzetu wote popote walipo.
You, Shy-Rose Bhanji, Regia Estelatus Mtema, Frederick Lyimo and 129 others like this.
50 of 65
Stella Chipanha Amen
3 hours ago · Like
Elia Malisa Asante kwa ku2kumbuka
3 hours ago · Like
Ally Meku Mungu akusimamie ktk kila jambo zuri ambalo unahisi litakuwa linafaida kwa Watanzania! Ili siku moja uje ukumbukwe ktk Utumishi uliotukuka..
3 hours ago · Like
Mkulima Wa Kisasa Mhe.tukumbuke tu cc wakulima pia
3 hours ago · Like
Frank Nyabundege Tuko pamoja kamanda...
3 hours ago · Like
Genchwere J. Ruge Pamoja mkuu
3 hours ago · Like
Jacqueline Godfrey ooh!! tunashukuru mweshimiwa,inashangaza bt ninachoweza kusema wewe nimfano wakuigwa.tunakutakia afya njema,mungu akulinde akupe wepesi ktk kila jambo.
3 hours ago · Like · 1
Taphawa Abubakary Ngwada thanx! president of 2020, don't worry about that.
3 hours ago · Like · 1
Flora Dhobe Amina, mwenyezi MUNGU akuzidishie baraka na upendo, kwakila uliombalo litimie kwa uposi.
3 hours ago · Like
Emmanuel Martin Sulle pamoja sana mweshimiwa
3 hours ago · Like
Beatrice Nchimbi Pamoja mh.
3 hours ago · Like
Frank Richard kila la kheri kiongozi,Mungu akupe afya njema na kila lililo jema katika maisha yako. kwa pamoja tutashinda
3 hours ago · Like
Molio Baldwin Asante muheshimiwa...na tuendelee kuijenga nchi.tuko pamoja
3 hours ago · Like
Cosmas Haule Hakuna jambo muhimu kama kushukuru! shukrani kwa Mungu wako na kwa wale wote wanaokuombea mema ktk majukumu makubwa uliyonayo!!! maandalizi mema ktk kuupokea kwaka mpya!!!
3 hours ago · Like · 2
Frankie G Odomali Pamoja tunaweza!afya njema kwako
3 hours ago · Like
Petty Zephrine Mungu akujaalie uendelee kuliendesha jaazi hili la vijana
3 hours ago · Like
Paul Dominic Asante mheshimiwa, Mungu akujalie baraka zake upate nguvu zaidi ili uendelee kulitumikia Taifa lako na watu wake.
2 hours ago · Like
Eddy Mwinuka Usijali Mheshimiwa najua umetingwa sana.
2 hours ago · Like
Isaya James Barikiwa mheshimiwa! Tunashukuru kwa kutambua na kuthamini michango yetu!
2 hours ago · Like
Zee Matau Linus Pamoja mh..nawe ubarikiwe
2 hours ago · Like
Christina Mokimilya asante mheshimiwa,MUNGU azidi kukupa kibali.
2 hours ago · Like
Aidan Ngole karibu.
2 hours ago · Like
Zidikheri Shemsanga very well an congrats 4 the doctorate!
2 hours ago · Like
Nilsson Mujjuni Kamulali Asante muheshimiwa be blessed
2 hours ago · Like
Ailly Mlwafu mkuu nikushukuru sana kwa jinsi ulivyo kiongozi wa kuigwa, kiongozi unayehusika hasa na vijana maana kiukweli sekta yako inahusika na vijana. mimi nitumie nafasi hii kutoa maoni yangu kwako na kwa serikali hasa kuhusu masuala mengi yanayohusu vijana bado hayajapewa kipaumbele kama suala la ajira kwa vijana na tatizo kubwa. ni aibu kwa graduates kuwa vibaka na makahaba eti kwa sababu ya ajira. mweshimiwa naomba kutoa hoja
2 hours ago · Like · 2
Irene Masaki Tunashukuru sana mheshimiwa pamoja sana n be blessed bro.
2 hours ago · Like
Lulu Kifera Tanx honourable,Mungu akupe afya njema
2 hours ago · Like
Egbert William Kiiza Asante kwa salamu zako za kututakia Mwaka Mpya. Nawe pia tunakutakia Mwaka Mpya mwema na wenye mafanikio tele. Mwenyezi Mungu akupe HEKIMA katika kuongoza Wizara yako.
2 hours ago · Like
Hendrick Arséñá Franky Safii sana!@Mh.Kazi kwanza taifa lisonge mbele
2 hours ago · Like
Tusa Moses Amen, hon. Nchimbi, stay blessed.
2 hours ago · Like
George Bitababaje appreciated-mheshimiwa-for-what,u-have-done.mungu-akubariki-mkuu
2 hours ago · Like
Baibe Kimmy Amen, heri ya mwaka mpya na kwako pia.
2 hours ago · Like
Lucian Ngeze Heri ya 2012 kwako pia mheshimiwa..Uwe mwaka wa kujituma zaidi, na kutimiza yale waTZ kwa ujumla wao wanayotegemea kutoka kwako...
2 hours ago · Like
Karliar Mshana Ok, bt mfanye kaz kw manufaa ya taifa na co kw matumbo yenu binafs. Mwaka mpya mwema.
2 hours ago · Like
Mujuni Gaulah Kajala na wewe heri ya mwaka mpya mbunge wangu,,
about an hour ago · Like
Maurice Nchimbi nashukur lakn kama ni kiongoz wa taifa hil jtahd kuondoa tabak lilpo kat ya walionao na wasionacho her ya mwaka mpya
about an hour ago · Like
Maurice Nchimbi nashukur lakn kama ni kiongoz wa taifa hil jtahd kuondoa tabak lilpo kat ya walionacho na wasionacho her ya mwaka mpya
about an hour ago · Like · 1
Deo Baraka Mambo Pamoja tutajenga taifa bora! Big up Mh.
about an hour ago · Like
Christopher Thomas Mullemwah Don't mention brother we are together for our national and our self.May our almighty God keep on blessing you with your family in the coming new year of 2012.
about an hour ago · Like · 1
Amon Mkoga Kwako pia Mhe.
about an hour ago · Like
Felix Elliah Staki Kila la kheri Mheshimiwa.
about an hour ago · Like
Julius Oba Rugiga Na kwako pia mkuu..
57 minutes ago · Like
Wema Hassan Tunashukuru sana mkuu, be blcd ktk majukumu yako ya kila siku.
38 minutes ago · Like
Glory Mziray asante, Mwenyeezi Mungu ajibu kila haja ya moyo wako kwa mwaka 2012
36 minutes ago · Like
Festo Mombo Tutafurahi zaidi kama Taifa Stars itakuwa mmoja ya timu bora Afrika.Heri ya mwaka mpya mheshimiwa.
35 minutes ago · Like
Glady Mlemba Pamoja sana Mkuu. Big up and ol da best in ya plans.
33 minutes ago · Like
Aliko James Na kwako pia Kiongozi Mungu akuongeze ktk kazi zako za kila siku, MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA
32 minutes ago · Like
Berious Nyasebwa nashukuru kamanda heri ya mwaka mpya na kwako pia
32 minutes ago · Like
Shy-Rose Bhanji ‎Emmanuel John Nchimbi Asante sana kwa maneno ya shukrani. Hichi ni kipimo cha juu kabisa cha mwanadamu pale ambapo anaonyesha uungwana wake kwa kushukuru. Neno ASANTE ni dogo sana lakini lina maana kubwa sana. Mungu aendelee kukubariki kwa uungwana uliotuonyesha marafiki zao wa karibu na vile vile wa sura kitabu. Nimalizie tu kwa kusema kwamba, wakati umeteuliwa kuwa Waziri binafsi nilifurahishwa sana na uteuzi huu, kwani umekuwa ni kiongozi ambaye huna makuu na you are just a phone call away. Pia ni rahisi sana kuongea na wewe tofauti na viongozi wengi hata kusalimiana nao unajiuliza mara mbili...NAKUTAKIA KILA LENYE HERI KWA 2012 WEWE PAMOJA NA FAMILIA YAKO. IKIMPENDEZA MOLA WETU TUUONE MWAKA MPYA NA MIAKA ZAIDI NA ZAIDI!
24 minutes ago · Like
Hafidh Saleh Suleiman Usijali Mh. tupo pamoja nawe
20 minutes ago · Like