Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
- Thread starter
- #41
kweli hawa wabeba mabox hawana maana. Unajua wanadhani eti PhD mtu anaweza kugawiwa, tatizo la watanzania ni wavivu kufikiri, na ni wepesi kudanganywa, nani kwa kuambia doctorate mtu anapewa? lazima uchakarike ili kuipata.