Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine

Wananchi wasiojitambua kwa wanaojitambua machale yameshawacheza. Na ukiona makombora yanarushwa toka ndani ya MACCM dhidi ya huyu wanajua walibugi. Kinana, Butiku, Msekwa, Makinda, Warioba, Mwinyi na Kikwete wote wamerusha makombora na nadhani kuna wengi tu watafanya hivyo siku za usoni kama mwelekeo wa nchi bado ni madudu matupu.
[/QUOTE]

Uliowataja wote ndo walikuwa wameshika nchi...na bado waliona Maghufuli ndo the last bullet Iliyobakia....la sivyo CCM ilikuwa chalii....asili ya mtu haibadiliki kwa matamko....Maghufuli ni yule yule jana na leo na hata kesho labda wamuue...vinginevyo wataendelea kuisoma namba at the maximum
 
Hapana kulikuwa na msafi Augustino Ramadhan yule hakuwa na hata doa au kashfa hata ya kubambikiwa. Kikwete na Mkapa wakamuhofia kwamba anaweza kuwaumbua yule na kashfa zao na pia kutia wino kwenye katiba mpya ya rasimu ya Warioba na Tume huru ya uchaguzi. Magufuli ni mwizi, fisadi, muongo na mtoa rushwa. Kama si mafisadi wa CCM kulinda a Serikalini huyo asingestahili kumaliza hata miaka mitano kazini, lakini kama ujuavyo wanavyokingiana vifua kwenye maovu yao hatimaye wakamsumizia Ikulu.


Uliowataja wote ndo walikuwa wameshika nchi...na bado waliona Maghufuli ndo the last bullet Iliyobakia....la sivyo CCM ilikuwa chalii....asili ya mtu haibadiliki kwa matamko....Maghufuli ni yule yule jana na leo na hata kesho labda wamuue...vinginevyo wataendelea kuisoma namba at the maximum[/QUOTE]
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kuwa mtafiti, na kuwa kiongozi

Maybe Mwele alikua researcher mzuri sana lakini hakua na same qualities kama kiongoxzi wa institution
unajua saa hv anashikilia position gan???
au na ww ulikua unawahi kucomment??
 
Hivi anajisikiaje aliemfukuza kazinacheka kiingereza.

Huyu anatakuwa na undugu na kubwa jinga,mwili jumba akili nukta??
 
View attachment 625580

Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.

Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais


LILE KOSA LILOSABISHA AKAFUKUZWA KAZI NA RAIS HALIFUTIKI !! BADO NI KOSA TU
 
Back
Top Bottom