Dr limbu kweli siasa ni usanii

Ngereja! Ni kweli Dr Limbu hajawahi kuwa waziri wa mambo ya ndani, lakini, tafuta kumbukumbu zako za mwaka 2002 uone nani alikuwa waziri wa maji na nani alikuwa naibu wake, hapo ndo utakuja ukanushe kuwa Limbu hajwahi kuwa naibu waziri wa maji chini ya ENL.
ENK, heshima mbele, inaonekana hujui nini kinajadiliwa hapa, na hili linaweza kuwa si kosa lako, masuala ya mm kumjua au kutomjua baba yangu yanahusiana nini na upumbavu wetu wana Magu!

Unaweza kuwa na uhuru wa kuandika hapa lakini si haki yako ya kutaka kujifanya mtaalamu wa DNA, binafsi nimekuchukulia kama binadamu mwenye haki zote lakini anafaa kupuuzwa, nimepuuzia yote uliyoandika kwani lengo hapa la mdau Ichobela (Ilungu, Nyanshimba-Yichobela- Kinango haha haha) lilikuwa ni kuonesha namna gani huyu jamaa tangu amekuwa mbunge ahajafanya lolote la maana si kwa watu wa Magu mjini pekee bali hata kwa walio pembezoni, mwalinha, sagani etc. Kikubwa hapa, kama wewe ni mkazi wa Magu na unadhani kumtetea limbu ni kutoona alichofanya, pole.

Tuone labda sasa kwa kuanzishwa huu mkoa wa Simiyu na kuwepo kwa mamlaka ya mji mdogo wa magu, kunaweza kuwepo na mabadiliko, tusubiri tuone


Tembelea office ya Bunge upate orodha ya mawaziri na manaibuwa waziri kati ya mwaka 2000-2005, 2005-2010, 2010-2015. Inaonekana kumbukumbu zako sio sahihi. Nimekuwekea taarifa za Dr. Limbu usome kisha unionyeshe ni lini alikuwa naibu au waziri wa maji. Mbona wewe hutupi mwaka unaodai alikuwa waziri wa maji?

Mwaka 2000-2005 Waziri wa Maji alikuwa Edward Ngoyai Lowasa
Naibu Waziri alikuwa Antony Diallo

2002-2005 Dr. Limbu alikuwa naibu waziri wa Fedha, hakuna zaidi ya hapo

ENERAL
SalutationHonourableMember picture
1044.jpg
First Name: Dr. Festus
Middle Name: Bulugu
Last Name:Limbu
Member Type:Constituency Member
Constituent: Magu
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 8496, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 784 581100/+255 757 491940
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Technical University of Berlin, GermanyPhD (Economics19891993PHD
Galamugi Primary SchoolPrimary Education19641968PRIMARY
Kinango Middle/Nyashana Extended SchoolPrimary Education19691970PRIMARY
Lumeji Primary SchoolPrimary Education19711972PRIMARY
Bwiru Boys' Secondary SchoolO-Level Education19731976SECONDARY
Mazengo High SchoolA-Level Education19771978HIGH SCHOOL
Univeristy of Dar Es SalaamBSc. (Economics)19831987GRADUATE
Bangladesh Institute of Development StudiesMSc. (Economics)19881989MASTERS DEGREE
CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No. IssuedExpires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
Ministry of FinanceDeputy Minister20022005
University of Dar es SalaamLecturer19852000
Prime Ministers' - Regional Commissioner's Office - MtwaraController and Planning Officer19821983
Kilombero Sugar CompanyAudit & Control Assistant19801981

 
Tafuta taarifa ya Miaka 50 ya Wizara ya Maji, pana picha ya mwaka 2002 inayomwonyesha Dr Limbu, kama naibu waziri wa Maji akiwa na ENL. Just google na utaiona iko ktk PDF

Ripoti inaitwa: MAFANIKIO YA MIAKA 50 YA UHURU KATIKA SEKTA YA MAJI, tizama uk. 15 pana picha inayomwonyesha waziri wa Maji 2002 Mh. ENL kulia kwake ni naibu waziri wa maji Dr Festus Limbu.

Inawezekana taarifa zilizo kwenye tovuti ya bunge hazijasema kila kitu, ni ajabu hazioneshi kuwa jamaa kawahi kuwa naibu waziri wa maji.:thinking:
 
Back
Top Bottom