chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Jamani mbona gazeti hili la mwananchi halipatikani kwenye mtandao
ya si si emu hukohuko!
Kama kungekuwa na mchakato wa wachagiaji hapa jamvini ambao sio bendera fuata upepo na hatimaye usinge shinda ni ngesikitika sanaHuyu Dakta kawa critical kivipi kuleta mabadiliko chamani mwake kwanza?
Swali tu.