idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,314
Hata Lowasa angeshinda Urais Waziri Mkuu lazima angempa Mbowe...
Badala ya kumlalamikia Rais ni vyema tungejiangalia Kwanza ndani ya vyama vyetu teuzi zetu tunateuna kwa utaratibu upi.?
Kama tunaangalia huyu ni upande upi .... au huyu amekifanyia nini Chama ndio tunamteua haina haja ya kumlaumu Rais.
Vyama vya siasa ndio vinaongoza kuvunja katiba zao kwa maslai ya wachache..... halafu ndio kundi la kwanza kujidai kutetea katiba.
Tujiulize kama viongozi wa vyama wanazifanyia figisu katiba zao kwa maslai yao .....je wakipewa nchi watakuwa Na udhubutu gani wa kuisimamia katiba bila kuifigisu.
Mchumia Janga hula........
Badala ya kumlalamikia Rais ni vyema tungejiangalia Kwanza ndani ya vyama vyetu teuzi zetu tunateuna kwa utaratibu upi.?
Kama tunaangalia huyu ni upande upi .... au huyu amekifanyia nini Chama ndio tunamteua haina haja ya kumlaumu Rais.
Vyama vya siasa ndio vinaongoza kuvunja katiba zao kwa maslai ya wachache..... halafu ndio kundi la kwanza kujidai kutetea katiba.
Tujiulize kama viongozi wa vyama wanazifanyia figisu katiba zao kwa maslai yao .....je wakipewa nchi watakuwa Na udhubutu gani wa kuisimamia katiba bila kuifigisu.
Mchumia Janga hula........