Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

Mwanasayansi magufuli mweupe sana anaangusha.

Sasa hivi tangu ameanza sayansi imeisha zimebaki siasa tu.
Anaongeongea ovyo bila mpangilio.

Hotuba zake hainza focus, contents, vision, clarity na priority.

Hajui mipaka ya kimaakama, mihimili ya taifa. Yeye linalokuja anropoka tu.


Msome benjamin(miongoni mwa mababa wa taifa wa us akiwa ni scientist) franklin utaelewa kuwa mwanasayansi kiongozi wa taifa aibuki kama mzuka.
 
Zanzibar Dr. Shein ni MKEMIA na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania atakuwa Dr.Magufuli ambaye ni MKEMIA. Not just coincidence, bali ni mipango ya MUNGU.
 
Sayans+siasasafi+uongozibora=maendeleo. hivyo vitu vinakwenda sambamba na kamwe huwezi kuvitenganisha.hata hizo nchi zilizoendelea zimefika hapo zilipo na zinazidi kuendelea kwa sababu ya kuendelea kwa sayansi siasa imeraisishwa kwenye hizo nchi kwa msaada wa sayansi,watu wanafanya kampeni jamii forum kwa sababu ya sayansi kamwe huwezi hiacha nyuma sayansi.ingawa napata mashaka na sayansi yetu watanzania iliyojikita katika kuwakaririsha vijana kuliko kuwafanya wawe wabunifu na wavumbuzi.tuna safari ndefu ya kufikia maendeleo kwa sayansi yetu watanzania.
 
Hii nchi toka inapata uhuru haijawahi kuongozwa na wanasayansi' huu ni wakati wa kufanya mabadilko ya kwenda na magufuri mwanasayansi tunayetegemea kutuletea mabadiliko ya kweli' Kama ww ni mwanasayansi ungana na mimi tumpeleke magufuri ikulu na Kuweka historia ya mwanasayansi kushika nchi kwa mara ya kwanza

Ndio nasikia Tanzania ina wanasayansi! Hivi nchi ambayo huduma za afya zinafuatwa India,viwanda vimekufa , hata toothpicks tunaimpoti, chumvi tunachukua Kenya, barabara na majengo ni wachina wanajenga, alafu kuna mtu anajiita mwanasayansi!
 
Ili kuleta maendeleo na amani lazima kuwepo na umoja,na ili kuleta maendeleo lazma awepo mtu mchapakazi,mwadilifu na asiyekuwa mwoga.
ili kuleta umoja na amani lazma awepo mtu asiyefungamana na upande wowote,mtu asiyekuwa na makundi nyuma yake...

Mtu asiyekuwa na roho ya kulipiza visasi na kupendelea kikundi fulani cha watu..

Mtu asiye na element yeyote ya ukabila...

Dr.magufuli hana kundi lolote nyuma,hatumii fedha katka kusaka uongozi kama jinsi wafanyavyo wengne..
Hana uchu wa madaraka,Ana political torelance,

Dr. Magufuli katka kila wizara aliyoiongoza performance yake imekuwa kubwa maradufu..

Kama jinsi waswahili wanavyosema"kila anayetenda mema hulipwa kwa wema"Mungu ameona utendaji na roho ya kujitolea ya Magufuli dhidi ya taifa hili..

Ameona anafaa kabsa kuwaletea Watanzania maendeleo kupitia uchapakazi wake,Mungu ameamua kumlipa kwa wema Dr.magufuli amempa nafasi muhimu na ya kipekee kabsa ya wakuwaongoza watanzania,no one knew that magufuli will become.

The president..its GOD..LET US ALL STAND TOGETHER AND SUPPORT THIS GOOD WISH FROM OUR ALMIGHTY ALLAH..!!REGARDLESS OF OUR IDEOLOGIES & PARTIES..

DR. MAGUFULI THE BEST CHOICE OF TANZANIANS.
Dr. Magufuli ni msomi kweli kweli anatufaa hasa kwa uzalendo wake. Tanzania itapendeza sana wakati wa utawala wake.
 
10361377_130331393989552_8215556907095336337_n.jpg
 
Magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli
 

Attachments

  • 1445521180996.jpg
    1445521180996.jpg
    35.6 KB · Views: 70
Back
Top Bottom