Mtoto wa Mama Samia
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 771
- 387
Magufuli sio mnyantuzu halisi. Wanyantuzi ni wasukuma katoka baadhi ya maeneo ya Bariadi. Wanajipambanua kwa kuongea lahaja ya kinyantuzu, mojawapo ya lahaja kuu nne za lugha ya kisukuma. Nitaandika kwa kirefu siku moja.