T-1000
Senior Member
- Feb 21, 2011
- 144
- 42
Safi sana Dr wa ukweli piga kazi.
umetambua kuwa wengine ni ma Dr. wa uongo wa kupewa kama mkuu wa kaya...
Safi sana Dr wa ukweli piga kazi.
Tuzo yake ni hiyo kukabidhiwa wizara dogo hilo?
Mwakyembe ataendelea kuwa Waziri hata baada ya Magamba kuondoka 2015.Tena anafaa kuwa waziri MKUU.
Acha kina Mwakyembe wapige kazi hao waliolala tutawaamsha kwa viboko
Chama
Gongo la mboto DSM
Safi sana Dr wa ukweli piga kazi.
Safi sana Dr.Harrison Mwakihembe kwa kufanya kazi kwa juhudi,kwani viongozi wa CCM wangekuwa wachapakazi kama wewe na kuweka ufisadi pembeni tusingekua na haja ya kuichukia CCM!!
Mhe Mwakyembe ni jembe kweli kweli ila yuko mahali pabaya, naomba tafadhari huyu mtu aongezewe ulinzi aweze kufanya kazi bila wasi wasi!!!
Tumpongezenni kwa pamoja , huu si upepo naamini ana nia nzuri
Samaki Fresh ukimuweka katika Tenga lenye Samaki waliooza, ujue wote wataoza tu.
Mwakyembe yupo katika Tenga bovu wenzie wote wameoza hivyo naye tunamuona ni walewale tu!!!!!!!!
Hata ukimuosha vipi samaki anayegusana na waliyeoza atanuka uvundo du.
MIZAMBWA
NABII MTARAJWA!!!