Unaonaje hii ikawa homework yako?
Sidhani kama una jukumu la kufunga huu mjadala zaidi ya Mods kupitia kwa Ng'wanangwa alijeanzisha mjadala! Anyway slaa sio mstaarabu ndio maana akaitwa fisadi kiwembe.Nafunga mjadala kwa kukwambia Ndg Kibunango............. HUJUI ULICHOKUWA UMEANDIKA.
Sidhani kama una jukumu la kufunga huu mjadala zaidi ya Mods kupitia kwa Ng'wanangwa alijeanzisha mjadala! Anyway slaa sio mstaarabu ndio maana akaitwa fisadi kiwembe.
Mark bei sahihi ya Cement mwaka 2011 mwezi June. Endelea kufuatilia bei za vitu, now that we have a president ambaye hakurupuki! Ila tu usilie wala kulalama :drum:ni mtu wa kukurupuka eti cement itakua 5000 tsh! ni kichekesho hiyo bei from which calculation!
Dua la kuku hilo! Slaa hana lolote,kadangaya ameibiwa kura kumbe fix tu! kwanza watanzania walimshitukia ni mtu wa kukurupuka eti cement itakua 5000 tsh! ni kichekesho hiyo bei from which calculation! mnakuwa na ushabiki wa kimahaba kwa Slaa! nashauri afanye mpango wa kuoa kwanza manake bado hata la ndoa lina mshinda leo awe PM! Umri wake bado ana mchumba! useless man!
kumpa nchi dk slaa kuzidi kuingamiza nchi. dk slaa hawezi kuongoza anajua kukurupuka. kutulia kwake kunaonyesha jinsi alivuyokata tamaa. hasa 2015 pengine akisimamishiwa mkatoliki mwenziwe ccm hapo tena amemalizika kabisa
Dua la kuku hilo! Slaa hana lolote,kadangaya ameibiwa kura kumbe fix tu! kwanza watanzania walimshitukia ni mtu wa kukurupuka eti cement itakua 5000 tsh! ni kichekesho hiyo bei from which calculation! mnakuwa na ushabiki wa kimahaba kwa Slaa! nashauri afanye mpango wa kuoa kwanza manake bado hata la ndoa lina mshinda leo awe PM! Umri wake bado ana mchumba! useless man!
kumpa nchi dk slaa kuzidi kuingamiza nchi. dk slaa hawezi kuongoza anajua kukurupuka. kutulia kwake kunaonyesha jinsi alivuyokata tamaa. hasa 2015 pengine akisimamishiwa mkatoliki mwenziwe ccm hapo tena amemalizika kabisa
kumpa nchi dk slaa kuzidi kuingamiza nchi. dk slaa hawezi kuongoza anajua kukurupuka. kutulia kwake kunaonyesha jinsi alivuyokata tamaa. hasa 2015 pengine akisimamishiwa mkatoliki mwenziwe ccm hapo tena amemalizika kabisa
Need I to say more?Ivorian Supporters say They Will 'Fight to Death' for Gbagbo.
ms say he will fight to death for his presedent
Magufuli alitosha kuwa PM lakini sijui kwanini wamemrudisha huyu harmless creature!
maana kakabwa kweli. anajuta kuchakachua. anawaza safari za nje safari hii sijui itakuwa vipi. euronews wamerusha picha za kikatili wa polisi zidi ya maandamano ya amani ya waTZ. hapohapo kuna wikiliki inamsubiri. hapohapo kuna mgao wa umeme. hapohapo kuna dowans. hapohapo kuna kupanda kwa gharama ya umeme licha ya kuwa umeme wenyewe tiamaji-tiamaji. Slaa mwenyewe katulia tuli. kama maji mtungini. hana tyme. lakini mambo ya government ya jk hayaendi kabisa. hajui hata aanze na lipi amalize na lipi. jk sasa anatia huruma.
inabidi amuite Slaa ili ampe u-PM? kama alivyofanya mwenzake Kibaki?
Angekuwa anaona mbali asingeweza kuuvaa mkenge uliomtia doa kwa wastaarabu.
maana kakabwa kweli. anajuta kuchakachua. anawaza safari za nje safari hii sijui itakuwa vipi. euronews wamerusha picha za kikatili wa polisi zidi ya maandamano ya amani ya waTZ. hapohapo kuna wikiliki inamsubiri. hapohapo kuna mgao wa umeme. hapohapo kuna dowans. hapohapo kuna kupanda kwa gharama ya umeme licha ya kuwa umeme wenyewe tiamaji-tiamaji. Slaa mwenyewe katulia tuli. kama maji mtungini. hana tyme. lakini mambo ya government ya jk hayaendi kabisa. hajui hata aanze na lipi amalize na lipi. jk sasa anatia huruma.
inabidi amuite Slaa ili ampe u-PM? kama alivyofanya mwenzake Kibaki?
maana kakabwa kweli. anajuta kuchakachua. anawaza safari za nje safari hii sijui itakuwa vipi. euronews wamerusha picha za kikatili wa polisi zidi ya maandamano ya amani ya waTZ. hapohapo kuna wikiliki inamsubiri. hapohapo kuna mgao wa umeme. hapohapo kuna dowans. hapohapo kuna kupanda kwa gharama ya umeme licha ya kuwa umeme wenyewe tiamaji-tiamaji. Slaa mwenyewe katulia tuli. kama maji mtungini. hana tyme. lakini mambo ya government ya jk hayaendi kabisa. hajui hata aanze na lipi amalize na lipi. jk sasa anatia huruma.
inabidi amuite Slaa ili ampe u-PM? kama alivyofanya mwenzake Kibaki?
Dua la kuku hilo! Slaa hana lolote,kadangaya ameibiwa kura kumbe fix tu! kwanza watanzania walimshitukia ni mtu wa kukurupuka eti cement itakua 5000 tsh! ni kichekesho hiyo bei from which calculation! mnakuwa na ushabiki wa kimahaba kwa Slaa! nashauri afanye mpango wa kuoa kwanza manake bado hata la ndoa lina mshinda leo awe PM! Umri wake bado ana mchumba! useless man!
Ameisha oa huyu Slaa kwanza ????? Padri mzima mkatoliki anavunja amri ya 6, kweli ufalme wa mbingu kwake ni ndoto kabisa