J Jarateng Senior Member May 4, 2012 102 43 Oct 16, 2012 #1 Aliyekuwa M/Kiti wa CCM mkoa wa Mwanza, Clement Mabina, amebwagwa na Dr. Anthony Diallo.
Filipo JF-Expert Member Jan 6, 2011 9,342 5,536 Oct 16, 2012 #2 Vipi kuhusu wajumbe waliopata ajali? Wamepiga kura wakiwa wodini!?
Mikael Aweda JF-Expert Member Dec 17, 2010 2,973 3,901 Oct 16, 2012 #4 kiboriloni said: Bado wazee wataendelea kurindima CCM. Click to expand... Kwa mwendo huu ccm ni wazee tu. Vijana wasubiri wakiwa na miaka 60 hivi nao watapata nafasi wakati huo kama ccm itakuwepo.
kiboriloni said: Bado wazee wataendelea kurindima CCM. Click to expand... Kwa mwendo huu ccm ni wazee tu. Vijana wasubiri wakiwa na miaka 60 hivi nao watapata nafasi wakati huo kama ccm itakuwepo.
Man 4 M4C JF-Expert Member Aug 2, 2012 743 114 Oct 16, 2012 #5 Tunashukuru kwa taarifa,ila Dialo sio Dr umesahau kuwa akwenda kurinew kama wakina Nchimbi na Kamala?
Tunashukuru kwa taarifa,ila Dialo sio Dr umesahau kuwa akwenda kurinew kama wakina Nchimbi na Kamala?
I Ichobela JF-Expert Member Jan 7, 2012 326 156 Oct 16, 2012 #6 Wanamtandao wa Mabina hawakujua Diallo kuwa ni kamanda!