Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Katika hali ya kawaida naogopa kujiuliza maswali ninayojiuliza sasa. Kwa umri wangu (ukilinganisha na umri wa Mzee Bilali) haya maswali ninayojiuliza yanaweza kutafsiriwa ni ukosefu wa heshima!! Lakini kwa sababu nimeshajiuliza labda niwashirikishe walimwengu mnisaidie kupata majibu aidha kutokana na uzoefu wenu au uelewa.
Je kwa wiki hizo mbili huko Serengeti Mzee Bilali alikuwa amechukua chumba kwa ajili ya kila mke wake au walichukua chumba kimoja ikawa wanayoita wazungu 'threesome' (kwa fikra hizi hapa ndipo ninapopata wasiwasi wa kuonekana mtovu wa adabu).....
Au, kama aliwachukulia kila mmoja chumba chake ina maana alikuwa anazunguka chumba hadi chumba au ilikuwaje?? Au ndio bi mkubwa anapewa nafasi ya kwanza??
Je kwa wiki hizo mbili huko Serengeti Mzee Bilali alikuwa amechukua chumba kwa ajili ya kila mke wake au walichukua chumba kimoja ikawa wanayoita wazungu 'threesome' (kwa fikra hizi hapa ndipo ninapopata wasiwasi wa kuonekana mtovu wa adabu).....
Au, kama aliwachukulia kila mmoja chumba chake ina maana alikuwa anazunguka chumba hadi chumba au ilikuwaje?? Au ndio bi mkubwa anapewa nafasi ya kwanza??