Kwani wewe ukimwiginore yeye anapata hasara gana watu wengine vituko kweli jitambue kwanza ndipo uandike haya mambo.Dr Bana Ni Mmoja Wa Wasomi Ambao Nimewaweka Kwenye IGNORE LIST YANGU YA WASOMI WA TANZANIA.
hizi doctorate zingine ni shida sana. sasa kwa nini kulikuwa na upigaji wa kura kama kilikuwa kinajulikana kitakachokuwa mwishoni? siwangesema watu wenye vyeo fulani hawapigi kura kwani wao ni lazima wakubaliane na kilichopo? nchi hii ngumu. da!Wana jamvi ameyasema hayo leo katika kipndi cha barugumu chanel kua ni sahihi kwakufukuzwa mwanasheria mkuu wa zanzibar kwakua ametenda kosa la kiuongozi kwakuayupo chini ya mamlaka ya rais
Huyu mzee kila siku yupo kwenye Tv, anafundisha saa ngapi? UDSM ndio chanzo cha umaskini wa hii nchi. Heri Sasa vyuo vimeanza kuwa vingi huenda Tanzania ikaanza kuwa na maendeleo maana hawa wasomi wa UDSM na walimu wao Ni majanga ya kidunia.