Nakandamiza Kibara
Senior Member
- Jul 17, 2007
- 143
- 10
- Thread starter
- #101
Mimi nasema anaye pinga kwamba haya ni majungu means anajua the other side of the story na madai haya .Sasa paint it clean ama counter attack madai yangu badala ya Bi Salha . Kama huwezi kuja na version ya ambayo utadai ina ukweli basi kaa kimya hadi ajibu hizi Tuhuma .Na si tuhuma pekee ni ukweli maana nina mengi zaidi ya haya nangoja ajibu halafu niyamwage hapa . Majina pekee niliyo yataka Bi Salha anapataka kichaa maana wote wamekuwa watumishi wake hadi kabakiwa sasa na Mmalawi.