Nakandamiza Kibara
Senior Member
- Jul 17, 2007
- 143
- 10
- Thread starter
- #81
Jamani mbona mnakuwa watu wa kubadili hoja kuzifanya kuwa za majungu ? Huyu mama she never want to be known kwamba anabagua .Yeye huomba marafiki zake kwamba wamtafutie na huwa hasemi mtu wa dini ipi .Ila kwa ndani sasa yaani nyumbani kwake hataki uislam . Je unajua habaru hizi zinatoka ndani kabisa kwa wale ambao ni wakristo ambao anakaa nao ? Unajua kuna mzee mmoja jina nalihifadhi nasema haya ili mkisha mweleza a recall kumkataza mzee mmoja kuja kuwachukua Mama yake mzazi na wale ndugu zake wengine kwenda nao Kanisani kwa lift ya gari kwa kusema wanamchosha mzee na hivyo wabakie tu ndani ? Anadai kuendelea kutamka Yesu ndani kwake mwanae mdogo wa miaka karibia 2 na watoto wa mumewe ambao ni wakubwa ana kaa nao wana kwazika maana wao ni Waislam .Je unajua kwamba wakati wa ramadhani hajali wewe ni mkristo wala nini lazima wote kufunga maana hamuweza kula nyumbani wake wakati yeye anafunga ?
Rudi kaulize tena naweza sasa kuanza kutoa namba za simu za wahusika wote nilio wataja muwaulize .Wanahasema si kwamba wana madai kwa kulipwa kidogo hapana bali wanasikitika matendo ya huyu Mama na unyama wake kwao . Wanaogopa hata kumface maana wanasema anasema ana madaraka makubwa wanaweza kuishia pabaya . Mimi kuleta habari hizi hapa si kumharibia ila kumpa habari kwama watu wanajua sasa anavyo nyanyasa watu hata kutowalipa nk .
Rudi kaulize tena naweza sasa kuanza kutoa namba za simu za wahusika wote nilio wataja muwaulize .Wanahasema si kwamba wana madai kwa kulipwa kidogo hapana bali wanasikitika matendo ya huyu Mama na unyama wake kwao . Wanaogopa hata kumface maana wanasema anasema ana madaraka makubwa wanaweza kuishia pabaya . Mimi kuleta habari hizi hapa si kumharibia ila kumpa habari kwama watu wanajua sasa anavyo nyanyasa watu hata kutowalipa nk .