Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Mkurugenzi wa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa Bw. Hosea anajiosha kwa wananchi kuwa mafaili 60 ya kesi za vigogo yamekaliwa na DPP - Bw. Feleshi, DPP Feleshi amepinga kauli hiyo na kusema hakuna mafaili aliyokalia na yale yliyofika ofisini kwake, kuna ambayo yalirudishwa kwani yalikuwa hayajakamilika.
SWALI:
1: Nani kati ya hawa wawili ni msema kweli?
2: Hivi hakuna utaratibu wa kutoa taharifa kati ya TAKUKURU na DPP maana japo wanafanya kazi ambazo zinahuusiano, bado wanatofautiana wao kwa wao.
3:Kupingana kwa vyombo hivi muhimu vya kutetea haki za raia kunaleta picha gani kati vyombo vyenyewe na kati ya vyombo hivyo na wananchi?
4: Je kama kuna atakayeonekana ameudanganyaumma, sheria inasemaje?
SWALI:
1: Nani kati ya hawa wawili ni msema kweli?
2: Hivi hakuna utaratibu wa kutoa taharifa kati ya TAKUKURU na DPP maana japo wanafanya kazi ambazo zinahuusiano, bado wanatofautiana wao kwa wao.
3:Kupingana kwa vyombo hivi muhimu vya kutetea haki za raia kunaleta picha gani kati vyombo vyenyewe na kati ya vyombo hivyo na wananchi?
4: Je kama kuna atakayeonekana ameudanganyaumma, sheria inasemaje?