Mi nimeinstall hii app lkn haifunguk yan inaishia kwenye 'please wait' na nshajarribu kuitoa na kuirudisha upya ila mambo yaleyale, android 4.1 samsung galax s3
Cc Young Master
JF App ya iPhone ipo inatumika na ni nzuri sana, yangu nimeiDownload freely kama miezi miwili imepita hivi na inasaidia sana, unaweza kuUpload hata pictures na videos...great work!
Me Hilo tatizo likitokea huwa na uninstall and kisha na install tena
Fungua jukwaa unalotaka kuweka topic yako, pale kwa juu kuna alama ya peni bofya hiyo alama itakuletea opposition tetesi au News alert bofya mmojawapo itakuletea page.nlikuwa naitumia hii app lkn ikagoma ikawa inaishia "pls wait....' na hiyo issue weng wakawa wanalalamikia.... kln baada ya kuroot imekubali naenjoy sasa.....
lkn bado sijajua kuweka new topic kwa ile app nsaidien hapo....
Fungua jukwaa unalotaka kuweka topic yako, pale kwa juu kuna alama ya peni bofya hiyo alama itakuletea opposition tetesi au News alert bofya mmojawapo itakuletea page.
Kwngu hakuna.....