Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,920
Heshima zenu,
Mimi nipo huku kwa mjaluo(Obama),ni mbeba maboksi mashuhuri.Swali langu kwa wanajamii ni hili,"kwa nini tulivunja mkataba na Dowans?je,walileta mashine?ziliwaka?mliwalipa hela zao?mmepata faida gani mlipokatisha mkataba?watanzania tumepoteza nini kutokana na dowans?
naomba majibu kwa kuwa huku hatuoni tv za bongo ila tunabishana tu kwenye vikao vya nyama choma! na naomba msamaha kama nitawaudhi baadhi ya wanajamii kwa kuwa mimi naipenda sana sisiemu!!
Mimi nipo huku kwa mjaluo(Obama),ni mbeba maboksi mashuhuri.Swali langu kwa wanajamii ni hili,"kwa nini tulivunja mkataba na Dowans?je,walileta mashine?ziliwaka?mliwalipa hela zao?mmepata faida gani mlipokatisha mkataba?watanzania tumepoteza nini kutokana na dowans?
naomba majibu kwa kuwa huku hatuoni tv za bongo ila tunabishana tu kwenye vikao vya nyama choma! na naomba msamaha kama nitawaudhi baadhi ya wanajamii kwa kuwa mimi naipenda sana sisiemu!!