dowans kosa lao ni nin?

Kobello

JF-Expert Member
Feb 20, 2011
8,637
7,920
Heshima zenu,
Mimi nipo huku kwa mjaluo(Obama),ni mbeba maboksi mashuhuri.Swali langu kwa wanajamii ni hili,"kwa nini tulivunja mkataba na Dowans?je,walileta mashine?ziliwaka?mliwalipa hela zao?mmepata faida gani mlipokatisha mkataba?watanzania tumepoteza nini kutokana na dowans?
naomba majibu kwa kuwa huku hatuoni tv za bongo ila tunabishana tu kwenye vikao vya nyama choma! na naomba msamaha kama nitawaudhi baadhi ya wanajamii kwa kuwa mimi naipenda sana sisiemu!!
 
Dowans hawakuwa na sifa hizi

--------
Aidha, imesisitizwa kuwa pamoja na udharura uliokuwepo sheria na taratibu za manunuzi ya umma vizingatiwe. Pia, wahakikishe kuwa mkataba wataoingia uwe ni wenye maslahi kwa taifa. Vile vile, watoa huduma wawe ni makampuni yanayofahamika na yenye sifa stahiki na kuaminika. - JK
--------
 
Heshima zenu,
Mimi nipo huku kwa mjaluo(Obama),ni mbeba maboksi mashuhuri.Swali langu kwa wanajamii ni hili,"kwa nini tulivunja mkataba na Dowans?je,walileta mashine?ziliwaka?mliwalipa hela zao?mmepata faida gani mlipokatisha mkataba?watanzania tumepoteza nini kutokana na dowans?
naomba majibu kwa kuwa huku hatuoni tv za bongo ila tunabishana tu kwenye vikao vya nyama choma! na naomba msamaha kama nitawaudhi baadhi ya wanajamii kwa kuwa mimi naipenda sana sisiemu!! [/QUOTE]

Kawaulize ccm.
 
Heshima zenu,
Mimi nipo huku kwa mjaluo(Obama),ni mbeba maboksi mashuhuri.Swali langu kwa wanajamii ni hili,"kwa nini tulivunja mkataba na Dowans?je,walileta mashine?ziliwaka?mliwalipa hela zao?mmepata faida gani mlipokatisha mkataba?watanzania tumepoteza nini kutokana na dowans?
naomba majibu kwa kuwa huku hatuoni tv za bongo ila tunabishana tu kwenye vikao vya nyama choma! na naomba msamaha kama nitawaudhi baadhi ya wanajamii kwa kuwa mimi naipenda sana sisiemu!!

Kawaulize ccm.
 
Okay!....sioni what's the big deal!ujanja mwingi mbele kiza.
 
Okay!....sioni what's the big deal!ujanja mwingi mbele kiza.
kwa nini usiwaulize hao CCM walioingia nao mkataba??
kama unajua hiyo Dowans ilitoka kwa Richmond basi kila kitu utajua
zaidi ya hapo unapoteza tu mda na kitu tunachokiongea kila siku.
 
Heshima zenu,
Mimi nipo huku kwa mjaluo(Obama),ni mbeba maboksi mashuhuri.Swali langu kwa wanajamii ni hili,"kwa nini tulivunja mkataba na Dowans?je,walileta mashine?ziliwaka?mliwalipa hela zao?mmepata faida gani mlipokatisha mkataba?watanzania tumepoteza nini kutokana na dowans?
naomba majibu kwa kuwa huku hatuoni tv za bongo ila tunabishana tu kwenye vikao vya nyama choma! na naomba msamaha kama nitawaudhi baadhi ya wanajamii kwa kuwa mimi naipenda sana sisiemu!!

Kabla ya kutuomba msamaha labda ungetuambia kwanza kwanini unaipenda sana ccm,.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom