Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Ok sasa nisije kuwa natibua mambo; tuliambiwa tatizo la umeme linahitaji Dowans kuwashwa haraka na bila ya hivyo nchi itazidi kuwa gizani. Katika kauchunguzi kangu kadogo kanaonesha umeme unapatikana si kwa mgao mkali sana kama wiki chache zilizopita. Sasa nimejiuliza labda kwa vile tulikuwa tunafuatilia mambo ya Loliondo yawezekana tumeshindwa kujau hatua zilizochukuliwa. Yawezekana:
a. Mitambo ya Dowans imewashwa
b. Umeme kwenye Migodi umehamishwa uraiani? - ili na wao waonje uchungu?
c. Tanesco wametafuta umeme wa ziada...
d. ...
a. Mitambo ya Dowans imewashwa
b. Umeme kwenye Migodi umehamishwa uraiani? - ili na wao waonje uchungu?
c. Tanesco wametafuta umeme wa ziada...
d. ...