Bila kujali ile shahada yake ya kwanza ya uzamivu PhD,hivi majuzi yaani mwanzoni wa Desemba 2011 Mh. Dk E.Nchimbi alitunukiwa nyingine pale Mzumbe University baada ya kuipigia kitabu kwa muda mrefu-japo wengi hatukujua na kuipata.Kila la heri.
To some of us.....Dr=Debit,....hivyo bado sijakupata vizuri mkuu
Hizo PHD za mzumbe kwa viongozi si za kweli hao walimu wanampa kirahisi rahisi tu!. Aje asome nje aone hakuna kujuana!!
Hizo PHD za mzumbe kwa viongozi si za kweli hao walimu wanampa kirahisi rahisi tu!. Aje asome nje aone hakuna kujuana!!
Sijawahi kuona single entry ya aina hiyo kwenye uhasibu (before name).To some of us.....Dr=Debit,....hivyo bado sijakupata vizuri mkuu